Lila la kheri .Mwenyezi Mungu awabariki...Hivo eeh?
Umefika mbali sana, anyways ni mawazo yako pia.Malaya hawaamini UPENDO wa kweli mpaka wapewe pesa.
Kwa aina hii ya wanawake tutegemee vilio vingi na malalamiko kutoka kwa aina hii ya malaya wanaojiweka katika mahusiano kwa malengo ya kutunzwa.
Amini au usiamini hiyo ndoa haitimizi mwaka, na ikitimiza ni vilio vitazidi.
Mmmhh!Hadi nastaajabu jinsi mume wangu mtarajiwa alivobadilika na kuonesha upendo ambao sjwahi kuupata kutoka kwa mtu mwingine ispokuwa wazazi.
Iko hivi huyu kijana nimekutana nae nina kama mwezi na wiki na hii ni baada ya kujitunza kwa muda mrefu, Lakini Toka tumeingia kwenye mahusiano hakuwahi kunipa hata hamsini mbovu na mimi skuwahi kumuomba.
Nilikuwa najipa moyo nikasema labda ananipima lakini mpaka unatimia mwezi sjaona akinipa chochote.
Sasa wiki Moja iliyopita amenishangaza baada ya kunambia anataka kunioa,.binafsi skuamini nikajua labda ananitania, kumbe alikuwa serious na ameshajiandaa.
Basi nilivomuona Yuko serious nikampa muongozo ndani ya wiki hii akapeleka POSA.
Sasa Toka anipose amekuwa akinipa pesa na kunihudumia mpaka nashangaa yani naletewa zawadi Kila siku na Leo kanambia niseme nataka mahari Tsh ngapi, madai yake anasema hataki mwezi WA Saba uishe kabla hatujaoana
Binafsi nafarijika sana na namuomba mungu ndoa yetu ipite salama.
Kuna situation Fulani ka raha sana nakapitia.
TBH am so excited nimeamua ni ka share na ninyi
Mwanaume akiwa na malengo na wewe kumbe anakuhudumia hivi🤔
Okay ndoa itakuwepoOops hapana.sjampatia humu. Huyu ni staff mate na kaka yangu nilimjulia kupitia kaka angu.
Wewe ni muislamuInshallah.
Ukiwa unaweka Thread zako ziwe zinashabiiana...WEWE NI DUMEHadi nastaajabu jinsi mume wangu mtarajiwa alivobadilika na kuonesha upendo ambao sjjawahi kuupata kutoka kwa mtu mwingine ispokuwa wazazi.
Iko hivi huyu kijana nimekutana naye nina kama mwezi na wiki na hii ni baada ya kujitunza kwa muda mrefu, Lakini toka tumeingia kwenye mahusiano hakuwahi kunipa hata hamsini mbovu na mimi skuwahi kumuomba.
Nilikuwa najipa moyo nikasema labda ananipima lakini mpaka unatimia mwezi sjaona akinipa chochote.
Sasa wiki Moja iliyopita amenishangaza baada ya kunambia anataka kunioa,.binafsi skuamini nikajua labda ananitania, kumbe alikuwa serious na ameshajiandaa.
Basi nilivomuona yuko serious nikampa muongozo ndani ya wiki hii akapeleka POSA.
Sasa toka anipose amekuwa akinipa pesa na kunihudumia mpaka nashangaa yani naletewa zawadi kila siku na leo kanambia niseme nataka mahari Tsh ngapi, madai yake anasema hataki mwezi WA Saba uishe kabla hatujaoana
Binafsi nafarijika sana na namuomba Mungu ndoa yetu ipite salama.
Kuna situation Fulani ka raha sana nakapitia.
TBH am so excited nimeamua ni ka share na ninyi
Mwanaume akiwa na malengo na wewe kumbe anakuhudumia hivi🤔
Mahali❌Posa na Mahali ni kitu kimoja?
Si ninwajinga jinga tu hawa.. yan sijui mtu anakua anaoata faida gani kukaa kuandika uongo uongo tu muda woteDuuu mwezi na wiki 2 baada ya kujituza kwa muda mrefu
Asante sana kijana. Elimu haina kikomo.Mahali❌
Mahari✅
Posa ni barua au utangulizi/ kujitambulisha unaopelekwa upande wa mwanamke au mwanaume kuonesha nia ya kutaka kuoa/kuolewa na kummiliki mwanamke/mwanaume
Mahari ni pesa au mali inayopelekwa upande wa mwanaume au mwanamke kama shukrani ya kumilikishwa mke au mume.
NB: Mahari hairudishwi