Kwani Majaliwa kufanya maajabu gani zaidi ya sinema zake kwenye media,akionekana anafoka na kuagiza mafisadi wakamatwe alafu baada ya muda mambo yanakuwa kimya!!!Wakuu kwema?
Wajuvi noamba mtujuze kwenye jambo hili. Toka Biteko ateuliwe kuwa Naibu Waziri Mkuu amefanya mambo gani mpaka sasa kulingana na nafasi yake hiyo?
Huu mshahara tunaomlipa kutoka mifukoni mwetu kama Naibu Waziri Mkuu anaula kutokana na kazi gani alizofanya mpaka sasa? Anautendea haki kweli?
Zaidi ya Maneno maneno tu na Misafara ya hapa na pale.
Usitarajie chochote.
Kwani Majaliwa kufanya maajabu gani zaidi ya sinema zake kwenye media,akionekana anafoka na kuagiza mafisadi wakamatwe alafu baada ya muda mambo yanakuwa kimya!!!
Muacheni Dotto ale nchi ni wakati wake na yeye!
Mbuzi kwenye gunia......., wazuri hawafi wangeanza taarabu zao baada ya kuona maturubaiMama kawauzia mbuzi kwenye gunia na yenyewe yakafurahiiii
🤣🤣🤣Ameingilia maandamano ya Chadema
Jikite kwenye hoja.Wewe unadhani alipewa hicho cheo kama sadaka bila wajibu? Kulikuwa na sababu gani kuanzisha hicho cheo na yeye kuteuliwa?
Anapiga pesa snItakuwa kafanya maajabu kwenye bank balance yake na kuongeza akiba ya uzeeni kwake.
Amekuwa MC wa Ikulu wala hana loloteAmeendeleza maajabu ya uwongo wa siku zote wa viongozi wa CCM wa kutangaza kuwa mgao wa umeme ni mwisho. Wenzake walikuwa wanaongopa wakiwa mawaziri, yeye anaongopa akiwa Naibu Waziri Mkuu. Yeye na Rais wamevunja rekodi ya uwongo kuhusiana na upatikanaji wa umeme, wakiwa watawala wa ngazi za juu kabisa, ukimwacha Majaliwa.
Uko sahihi. Kama rais wa USA alivyosema marais wa Afrika kazi yao wanafikiria jinsi ya kushinda uchaguzi tu. Uchaguzi ukiisha, wanaanza mapumziko. Huyu jamaa kawekwa ili kupata kura za wafuasi wa Magufuli. Samia wale watu wa Magufuli hawapendi kabisa ila hana namna kwa sababu anazitaka kura zao. Umesikia Makamba alivyowapiga kina Kabudi kijembe? Alisema wakati wa Magufuli kuna watu ndani ya CCM walikuwa wanamdharau Samia lakini alipopata urais bado amewapa nafasi. Samia ana wasiwasi kweli na uchaguzi. Kesho kaalika watu wengi wenye influence mitaani kwa futari huko ikulu.Kawekwa pale kimkakati zaidi.Unajua Sukuma Gang hawana akili wakiona mtu kutoka kanda yao kapewa cheo kisichokuwepo kikatiba wanafurahi sana kama mtoto mdogo akipewa peremende.
Ni aibu sana kwa Taifa kama la TanzaniaUko sahihi. Kama rais wa USA alivyosema marais wa Afrika kazi yao wanafikiria jinsi ya kushinda uchaguzi tu. Uchaguzi ukiisha, wanaanza mapumziko. Huyu jamaa kawekwa ili kupata kura za wafuasi wa Magufuli. Samia wale watu wa Magufuli hawapendi kabisa ila hana namna kwa sababu anazitaka kura zao. Umesikia Makamba alivyowapiga kina Kabudi kijembe? Alisema wakati wa Magufuli kuna watu ndani ya CCM walikuwa wanamdharau Samia lakini alipopata urais bado amewapa nafasi. Samia ana wasiwasi kweli na uchaguzi. Kesho kaalika watu wengi wenye influence mitaani kwa futari huko ikulu.
MweeKule Ushirombo anajenga gorofa.
Mjengo wa hatari.Mwee
Siyo sura. Yeye kabila lake ni mtusi. Hilo hawezi kulikataa, ila ni mtanzania aliyeupata uraiawa Tanzania bila ya kufuata taratibu za uhamiaji, na wala hajaukana uraia wake wa asili.sura ya kitusi 100%.
Ila Tz tuna mamlaka za kipuuzi sana. No vetting at allSiyo sura. Yeye kabila lake ni mtusi. Hilo hawezi kulikataa, ila ni mtanzania aliyeupata uraiawa Tanzania bila ya kufuata taratibu za uhamiaji, na wala hajaukana uraia wake wa asili.
Ni vizuri angefuata taratibu zote ili awe na amani ya moyo. Na akifuata taratibu, hakuna anayeweza kumnyima uraia, japo upendeleo kwa watu wa asili yake, tena wanaoishi nchini bila uhalali, ni doa kwake.
Wewe mleta mada toka umezaliwa umefanya maajabu gani?Wakuu kwema?
Wajuvi noamba mtujuze kwenye jambo hili. Toka Biteko ateuliwe kuwa Naibu Waziri Mkuu amefanya mambo gani mpaka sasa kulingana na nafasi yake hiyo?
Huu mshahara tunaomlipa kutoka mifukoni mwetu kama Naibu Waziri Mkuu anaula kutokana na kazi gani alizofanya mpaka sasa? Anautendea haki kweli?
👇Babu:king Mutara III of Chigali 1912-1959.Siyo sura. Yeye kabila lake ni mtusi. Hilo hawezi kulikataa, ila ni mtanzania aliyeupata uraiawa Tanzania bila ya kufuata taratibu za uhamiaji, na wala hajaukana uraia wake wa asili.
Ni vizuri angefuata taratibu zote ili awe na amani ya moyo. Na akifuata taratibu, hakuna anayeweza kumnyima uraia, japo upendeleo kwa watu wa asili yake, tena wanaoishi nchini bila uhalali, ni doa kwake.