Toka Harmonize aondoke Wasafi nyimbo za Diamond zimekuwa na tungo za kawaida sana kama sio mbaya. Ni kweli Harmonize alikuwa mwandishi tegemeo?

kwenye debate za sekondary hii inaitwa POINT OF PARALYSIS .Harmoniser alituhumiwa sana juu ya kumuiga kila kitu diamond kwa muda mrefu .atabaki kuwa diamond copy .
 
Mbona harmo mwenyewe hana mashairi ya kueleweka
Nyimbo za Harmo ni motochini kusema kweli.

Zinagusa hisia na kutuliza nafsi unapozisikiliza sio kama za Mondi makelele kibao kama mpiga debe
 
Dah chuki ni kitu kibaya sana.
Hivi ukiwa na akili timamu unaanzaje kufikiri Diamond alitungiwa na Harmonize?

Tofauti ambayo wengi hamuijui katika muziki ni kwamba Diamond ameshaimba kila kitu, sasa hivi anagombana na kuto rudia ideas ambazo ameshaimba, hili ni tatizo linalowasumbua wanamuziki wengi waliotoa kazi nyingi.

Kingine Diamond ameshatoa kazi yenye level ya juu ni kawaida kwa mashabiki kulinganisha kazi yako ya level ya juu na kazi inayofuata. Hakuna mwanamuziki hata mmoja aliyewahi kumaintain hiyo status na hapa mashabiki watakuhukumu kwa mafanikio yako mwenyewe. Hata wanaoponda kazi za Harmonize ni kwa sababu wanamuhukumu kwa kazi zake za WCB na huenda asifikie tena level zile.

Kuna wakati tulipiga kelele Harmonize kucopy kila kitu kuimba, kutunga, mavazi na kila kitu, Leo mashabiki mmegeuza ufanano wao ni vile Diamond alitungiwa. Nani alianza kabla ya mwenzake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna msanii kila wimbo wake lazima uskie haya maneno..

' Nioneshe alichokupa Mama.. '
 
Acha ujinga diamond ameimba kuhusu ukimwi,rushwa,uchawi,corona,umasikini,maendeleo ya nchi,kifo,happy birthday,madawa ya kulevya .....nk nk???

Najua ni je ya mada lakini umecheki avatar yangu?
 
Umeongea kitu kikujawa sana mkuu Tunaojua mziki tumekuelewa, Washabiki wa INAMA NIPACHIKE RUNGU hawawezi kukuelewa.
Hakika mkuu. Kwa anayejua mziki ataelewa. Ila mashabiki maandazi .. Atajua labda ni chuki..
 
Imebumaje boss..msaada kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diva mbona una teseka kwa hela za wanaume

Sent from my SM-A105G using Tapatalk
 
Kweli kabisa harmo mashuka kwa kila kitu album ya mond NYIMBO mbili ndo sipendi ila ya harmo napenda nyimbo TATU mpaka kesho,uno na kushotokulia tu zingine zote takataka utumbo mtupu...HARMO AMECHANGANYIKIWA KILA PROJECT INABUMA FROM KONDEGA G MAGAHAWA.ALBUM MBAYAMBOVU
 
Nadhani atakuwa katumia miezi kama minne kuandika album wakati wenzake wanatumia hata miaka miwili..
Ndio maana nyimbo nyingi zinafanana kingereza kile cha "i gonna die for u". Atakua katunga ngoma zaidi ya 10 kwa muda mchache.
DOGO ILE MISUKULE YAKE IMEMPOTEZA YAAAN INAMVIMBISHA AVIMBE KAMA PULIZO KWENYE MIBA ETI AMZIDI MONDI...LUGE ALISHINDWA AWEZE MTOTO HARMO.....ARUD USAFINI AKATUBU MAISHA YAENDELEE EE...
 
Umeongea kitu kikujawa sana mkuu Tunaojua mziki tumekuelewa, Washabiki wa INAMA NIPACHIKE RUNGU hawawezi kukuelewa.
Kuna msitari harmo aliimba FICHA MBALI KITUMBUA
 
Hey shut the fvcker.. Kuna kitu inaitwa kutengeneza brand. Ukishakuwa na brand, brand ndo inakubeba. So hata uimbe kiitikio tu wimbo mzima usiwe na verse hata 1 bado utabamba tu. We unaongelea mondi wakati Mrs Nice alikuwa anaimba michezo ya watoto ila alibamba Africa nzima. Juma Nature kaimba vitu kibao havieleweki ila hamna aliekuwa anamfikia kwa kupendwa enzi zake, leo unatoka unakotoka na hoja ligi zako za kishamba unaanza kulinganisha watu. Kama Harmo aka mmakonde anaeionea aibu papuchi ya mzungu(ameshindwa kumpiga mimba tukapata kishombe shombe) alikuwa anamtungia nyimbo mondi si itaonekana tu kwenye views YouTube, mbona aliekuwa mtungiwaji bado ana mburuza mtungaji? Na dunia ya sasa ni ya anaejitangaza sana na kufanyiwa promotion kubwa ndo atakae pendwa haijalishi anaimba pumba au machicha. Nina karibu ngoma 30 za Ferre Gola, 50 za Fally Ipupa na 160 za Koffi Olomide sijui hata wanaimba mapenzi, siasa au ushoga maana sijui lingala, kasai wala kifaransa ila nawapenda. Next time usije na haya machicha hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…