Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Akosema anaachia ngazi
 
Hilo linasaidia vipi mamilioni ya watu waliopo vijijini Kwa mfano. Na je una uhakika Hilo tu kitakufanya uamini kweli magufuli ni rais wa wanyonge.. Jukumu Hilo umeliona ni gumu Sana na ni muhimu Sana kutekelezwa??? Upo serious
Hilo ndo litabeba impact nzima ya zana yake ya kutetea wanyonge maana wapo walofoji vyeti na walikua watumishi wametimuliwa saivi wapo vijijini, sasa wanapoona wengine hawachukuliwi hatua yeyote hata kama angegawa pesa kila siku kwa raia wa Tanzania hakuna atakae mwelewa
 
Shushu bnh mmetumwaa eeeh kichinjiioo kipo nakitunza kuliko mboni yng
 
Dah umemaliza kila kitu respect [emoji109]
 
Hilo linasaidia vipi mamilioni ya watu waliopo vijijini Kwa mfano. Na je una uhakika Hilo tu kitakufanya uamini kweli magufuli ni rais wa wanyonge.. Jukumu Hilo umeliona ni gumu Sana na ni muhimu Sana kutekelezwa??? Upo serious
We s umeuliza? Na yeye kakujbu amtimue bashite ziro
 
 
Hilo linasaidia vipi mamilioni ya watu waliopo vijijini Kwa mfano. Na je una uhakika Hilo tu kitakufanya uamini kweli magufuli ni rais wa wanyonge.. Jukumu Hilo umeliona ni gumu Sana na ni muhimu Sana kutekelezwa??? Upo serious
Itaonesha tu amri ya mkuu haina exception.
 
Mimi ningempenda na kumtambua ni mtu wa wanyonge kama angefungia kiuno shida ya maji nchi nzima. Hili ni tatizo kubwa na ni ngumu sana kufanikisha.
 
Kwanza aziamuru wizara zake zote zitoke katika majengo ya vyuo maana. Katika usanifu majengo hutegemea Sana matumizi sasa yale majengo hayakusanifiwa Kwa ajili ya ofisi bali n Kwa ajili ya vyuo
 
Linagusa vipi maisha ya watanzania? Je una uhakika gani kuwa siyo rumors? Au umesahahu ya Mwamunyange 2015?


Wewe huoni kuwa imani kwa muongoza imepata msukosuko. Au mna amini kuwa wote wanaolipigia kelele hili suala hapa ni wauza unga, wavivu, wenye wivu, husuda, wapinzani and the like? Kama hapo awali ufafanuzi ulitolewa kwa hoteli meneja kuhusu jina na vyeti vyake, kwa nini sasa iwe shida? Ni ugumu gani umetokea kipindi hiki? Je mmepima demage ya serikali katika kulizibia masikio na kulifumbia macho hili hasa huko mbeleni?



Na washawasha!
 

Mkuu jambo unalolisema ni kweli kabisa kuwa lazima RC aondoe utata kuhusu vyeti vyake au awajibike kwa endapo itabainika ameghushi vyeti. Binafsi sifurahishwi na huu u-double standard ila hoja inabaki pale kuwa, je, hili swala la vyeti linagusa vipi changamoto za kimaisha za watanzania wanyonge?
 
Aachane na kukimbizana na wapinzani na visasi visivyo na maana.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…