Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Watumishi chini ya OR Tamisemi kada ya walimu na manesi hawana posho yoyote

Hii kero inayoota kutu.
 

Kero ni nyingi mno kwa leo naanza na veta hakuna ubishi kwamba veta ilianzishwa ili kuwakwamua vijana wetu ambao ndiyo nguvu ya taifa lakini pamoja na kasoro nyingi zisizo akisi malengo na matarajio ya uanzishwaji wake kuna tatizo la kuchelewesha vyeti vya kufuzu mafunzo hayo jambo hili wahusika waliokasmiwa madalaka hawaoni kama lina sababisha shida kwa wahitimu ambao waliona kama veta ni mkombozi wao baada ya kukosa fursa katika vyuo na shule nyingine.

Vyeti havipatikani kwa wakati na kusababisha kukosa fursa mbalimbali. Hivi katika zama hizi za technolojia kuna ugumu gani kutoa vyeti kwa wakati?
 
Nihii wao wasi fatilie ila siku Wananchi wakiamia kufuatilia wasije jiliza liza Koz watu wata deal mpaka na Properties wanazo own.
 
Hili la road reserve kuwekwa biashara linasumbua na kuchafua mji. Mfano pale morocco mbele ya kanisa la mitume wa siku zijazo mtaa wa uporoto kuna baasiji restaurant inaitwa nino imejengwa barabarani kabisa hata.kama ni kuchochea biashara hii si.sawa.

Tabia ya trafiki kuazuia njia moja pale kunduchi asubuhi ili magari yanayotokea bahari beach yapite hii si.sawa.

Kila landcruiser kuwasha vingora na kujifanya wanawahi kuliko madereva wengine hiini.sign of rampant corruption

Bodaboda na.bajajai kupita katikati ya.magari na kijifanya.wao hawajui kutumia breki wao.wana haraka sana hili si.sawa
 
Hili la kijengwa barabara.za.lami haipiti miaka.10 unakuja.mradi unapasua barabara mfano bomba za gesi. Fiber optic.cable. sewarage system hivi wasomi wetu hawana coordinated planning and.execution of projects.

Wanauchafua mji. Kama.sasa.hivi inajengwa.mwendokasi iliyofeli kimara na.vibarabara vidogo lori likiharibika magari hayaendi. Kwanini barabara.zisipanuliwe for long terms
 
Hili la road reserve kuwekwa biashara linasumbua na kuchafua mji. Mfano pale morocco mbele ya kanisa la mitume wa siku zijazo mtaa wa uporoto kuna baasiji restaurant inaitwa nino imejengwa barabarani kabisa hata.kama ni kuchochea biashara hii si.sawa.

Tabia ya trafiki kuazuia njia moja pale kunduchi asubuhi ili magari yanayotokea bahari beach yapite hii si.sawa.

Kila landcruiser kuwasha vingora na kujifanya wanawahi kuliko madereva wengine hiini.sign of rampant corruption

Bodaboda na.bajajai kupita katikati ya.magari na kijifanya.wao hawajui kutumia breki wao.wana haraka sana hili si.sawa
Mbezi mwisho stend kero kukuu
 
PSSSF wafuatiliwe Kuna uzembe ulioota mvi.
Taasisi imeoza wanufaika hawafurahii huduma za taasisi hiyo
 
Back
Top Bottom