Ziko wapi? Unatakiwa ufoe mfanoUFISADI UPO NHIF,,, WATU WANA ZAHANATI HEWA KIBAO WANAPIGA HELA KILA UCHAO...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziko wapi? Unatakiwa ufoe mfanoUFISADI UPO NHIF,,, WATU WANA ZAHANATI HEWA KIBAO WANAPIGA HELA KILA UCHAO...
Walio kwenye mfumo wameelewa..Ziko wapi? Unatakiwa ufoe mfano
Nchi hii maudhi yako mengi sana yaaniwana jamii forum,
ishu inayoniuma mpaka kesho ni ununuzi wa haya magari ya kifahari maarufu V8 . haya magari yanaingiza hasara kubwa sana lakini kwa upana wake watu hawajaelewa au wanaelewa wanafumbia macho...
Unajua Nini mama amesha onesha Nia ya kugombea 2025 ndio maana makosa mengi ya viongozi anafumbia macho ili viongozi wa ccm wenye nguvu kuliko yeye pia wanao husika na ufisadi waweze mpitishe Kama kawaida yao hata kwa kuiba kura hapa wananchi tujitahidi kupigania katiba mpya maana nasikia ata magufuli nae alipanga kuleta katiba mpya Kabla ya kufanikisha akawa marehemuwana jamii forum,
ishu inayoniuma mpaka kesho ni ununuzi wa haya magari ya kifahari maarufu V8 . haya magari yanaingiza hasara kubwa sana lakini kwa upana wake watu hawajaelewa au wanaelewa wanafumbia macho . ngazi zoote kuwa za taasisi viongozi wake wanatembelea V8ukipiga hesabu gharama zake ni kichekesho...
Ziko wapi? Unatakiwa ufoe mfano
Daaaa Ni hatariView attachment 2637372Watu wanachezea MFUMO wanaufumua MFUKO hela kwa MADAI HEWA,,, CAG anataka MFUKO urudi kwenye matumizi ya FOMU za karatasi yaani ANALOG maana mfuko uliaminika kuja kumaliza wizi umekuwa mkombozi kwa WEZI... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii nchi balaa watu WANAPIGA HELA,,,,
Ufisadi ni utamaduni, mila na desturi za tawala pamoja na watawala wa Afrika. Huwezi kuvitenganisha vitu hivi.Ndugu wana JamiiForums,
Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama Watanzania ambayo tungependa yafanyiwe kazi...
dipiiiUfisadi ni utamaduni, mila na desturi za tawala pamoja na watawala wa Afrika. Huwezi kuvitenganisha vitu hivi.
Yaani hili jambo linasikitisha kwa kweli.Kuna aina 2 za rushwa;
1. Rushwa i nayoanzia chini- Hii kuimaliza ni kazi ndogo sana
2. Rushwa inayonzia juu- Hii kuipiga vita ni ngumu na hatari sana kwani inawagusa "wakubwa mno"
www.jamiiforums.com
Mkuu wangu viaongozi bora wa kiafrika ni wale pre colonial tuu waliopambana na ukoloniUfisadi ni utamaduni, mila na desturi za tawala pamoja na watawala wa Afrika. Huwezi kuvitenganisha vitu hivi.
KabisaMkuu wangu viaongozi bora wa kiafrika ni wale pre colonial tuu waliopambana na ukoloni
The rest ni wapiga dili tuuu