Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako Rais wetu Mpendwa Rais wa wanyonge John Pombe Magufuli tupia jicho wilaya ya kigamboni kata ya Mwasonga kuna Madini yamegundulika kwenye maeneo yetu mwekezaji yupo tayari muda wowote kuwalipa wananchi wenye maeneo yao lakini bado anazungushwa na wasaidizi wako hatujui tatizo ni nn?
Kwako Rais wetu Mpendwa Rais wa wanyonge John Pombe Magufuli tupia jicho wilaya ya kigamboni kata ya Mwasonga kuna Madini yamegundulika kwenye maeneo yetu mwekezaji yupo tayari muda wowote kuwalipa wananchi wenye maeneo yao lakini bado anazungushwa na wasaidizi wako hatujui tatizo ni nn?
Madini gani hayo?[/QUOTE
Ni madini ya kusafirisha mionzi ya simu na tv, maeneo ya Mwasonga
Acha tamaa ya pesa kwani si muda mtaanza kumpigia magoti JPM mkidanganya kuwa hamjalipwa au mmelipwa kidogo
Madini yoyote ni mali ya serikali, kama yamegundulika sidhani kama huyo mzungu anaweza yachimba pasipo vibali vya serikali..
Soma vizuri hapo juu thread yangu nimeeleza...
Mwekezaji hadi kibali kashapewa kutoka Wizara ya Nishati na Madini!
Mkuu thread yako inasomeka hivi, hakuna neno kibali...Soma vizuri hapo juu thread yangu nimeeleza...
Mwekezaji hadi kibali kashapewa kutoka Wizara ya Nishati na Madini!
Kwako Rais wetu Mpendwa Rais wa wanyonge John Pombe Magufuli tupia jicho wilaya ya kigamboni kata ya Mwasonga kuna Madini yamegundulika kwenye maeneo yetu mwekezaji yupo tayari muda wowote kuwalipa wananchi wenye maeneo yao lakini bado anazungushwa na wasaidizi wako hatujui tatizo ni nn?
Mkuu thread yako inasomeka hivi, hakuna neno kibali...
Anyway bila shaka JPM atasoma mambo uliyomuandikia hapa
Tanzania kama M/Kiti wa SADC tuna wajibu mkubwa sana na kinachoendelea Afrika Kusini hivi sasa.
Hatuwezi kuacha Waafrika wenzetu kutoka nje ya A.Kusini wakinyanyaswa na hata kuuawa na Waafrika wenzetu bila kukemea vitendo vya kinyama.
Nafikiri tunapaswa kutoa kauli yenye uzito unaotakiwa kwa Serikali ya A.Kusini ili kuwaenzi wazee wetu(Mwenyezi Mungu awarehemu) Julius.K.Nyerere na Nelson .M.Mandela waliopinga vikali ubaguzi.
Soma vizuri hapo juu thread yangu nimeeleza...
Mwekezaji hadi kibali kashapewa kutoka Wizara ya Nishati na Madini!