Kuna watumishi wengi wa umma ambao tuhuma zao za kijinai zimesafishwa na mahakama na jamhuri imeridhika pasipo kukata rufaa lakini waajiri hawataki kuwapangia majukumu huku wakilipwa mishahara kila mwezi bila kufanya kazi kinyume kabisa na kauli mbiu ya mh Rais yahapa kazi tu.