Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Selikali inapaswa kuwajali wananchi wake ama sivyo itawaokota wamezimia kodi zinapanda mikopo lukuki inakopwa zinakokwenda mawenge mawenge uwazi hakuna!!!!
 
Selikali inapaswa kuwajali wananchi wake ama sivyo itawaokota wamezimia kodi zinapanda mikopo lukuki inakopwa zinakokwenda mawenge mawenge uwazi hakuna!!!!
Ninaomba serikali izidi kukaa kimya, huenda mambo yakizidi wananchi watapata morali ya kudai katiba mpya.
 
Ombi langu ni kwa taasisi za umma zimekuwa very slow kiutendaji,vyombo vyetu kama TAKUKURU,POLISI,MAHAKAMA mashauri mengine madogo kabisa lakini utatuzi wake kwa sasa unachukua muda MREFU mno tofauti na hapo awali Jambo ambalo hata marehemu lilikuwa likimshangaza sana sana,kila kitu kinakuwa tayari lakini KITACHELEWESHWA TU,WHY THIS SO!
 
Kuna majipu bado yapo mengi mfano:

Utafiti mdogo niliofanya, umeonesha kuna shule za msingi zinaendesha tuisheni, mfano.

Shule ya msingi Tumaini na Kimanga zote shule hizi zimeunganishwa pamoja. Walimu wao wamekuwa wakiendesha tuisheni, pembeni kidogo ya shule hizo.

Walimu hao huendesha tuisheni, katika majengo ya shule ya sekondari ya wazazi iliyoko maeneo ya sokoni huko huko tabata kimanga

Chanzo mimi mwenyewe nimefanya utafiti.
Huu ndio unafiki na husda! Hutaki walimu waendeshe tuisheni ili kujiongezea kipato wakati unajua mishahara yao ni mkia wa mbuzi na haiwatoshi! Unataka waanze kukaba siyo?
 
Malori yanaharibu barabara mpya kariakoo,
Huku gari za sm zikipita na kukusanya fedha nyakati za jioni na usoku mitaa husika hasa ni mtaa wa narun'gombe, agrey, masasi, tandamti na magila yote ni kati ya mtaa wa ndanda na muheza,
Barabara ni mpya za lami lakini tayari zimeanza kuharibika huu ni uhujumu uchumi na ufisadi wa hali ya juu,
Ofisi za mizigo zipo hadi barabarani na kuzuia wapita njia na kuharibu barabara
Pia ni kuwatia unyonge na kuwaonea wamachinga
Serikali angalieni hili au mutaendelea kujenga barabara miaka nenda miaka rudi
Wakati hela hizo zingefaa kwa shule na zahanati
Piteni leo kariakoo maeneo hayo mujionee wenyewe
 
Uyui halmashauri Bado inadhulumu posho za wasimamizi wa NECTA!!TUNAOMBA NECTA IWE INAINGIZA FEDHA KWENYE AKAUNTI ZA WASIMAMIZI MOJA KWA MOJA!!PIA UTEUZI WA MAJINA YA USIMAMIZI WA MITIHANI YA TAIFA NA MAANDALIZI YA PRACTICAL UFANYWE NA NECTA MOJA KWA MOJA KAMA MNAVOTEUA WASAHISHAJI WA MITIHANI!!!HUKU HALMASHAURI KUNA URASIMU NA RUSHWA ZA NGONO ZINAFANYWA NA MAAFISA ELIMU MSINGI NA SEKONDARI!!!
 
Uyui halmashauri Bado inadhulumu posho za wasimamizi wa NECTA!!TUNAOMBA NECTA IWE INAINGIZA FEDHA KWENYE AKAUNTI ZA WASIMAMIZI MOJA KWA MOJA!!PIA UTEUZI WA MAJINA YA USIMAMIZI WA MITIHANI YA TAIFA NA MAANDALIZI YA PRACTICAL UFANYWE NA NECTA MOJA KWA MOJA KAMA MNAVOTEUA WASAHISHAJI WA MITIHANI!!!HUKU HALMASHAURI KUNA URASIMU NA RUSHWA ZA NGONO ZINAFANYWA NA MAAFISA ELIMU MSINGI NA SEKONDARI!!!
Poleni sana Uyui.
 
Huu ndio unafiki na husda! Hutaki walimu waendeshe tuisheni ili kujiongezea kipato wakati unajua mishahara yao ni mkia wa mbuzi na haiwatoshi! Unataka waanze kukaba siyo?
Na daktari auze dawa zake hospitalin?
 
Na daktari auze dawa zake hospitalin?
Kuna shida gani mwalimu akifundisha tuisheni baada ya muda wa kazi ili kujiongezea kipato? Kama anafanya ndani ya muda wa kazi hapo sawa lkn nje ya muda wa kazi kuna shida gani?
 
Ndugu wana JamiiForums,

Nchi yetu imetafunwa mno na ni wakati sasa tuseme imetosha. Tumsaidie Rais Magufuli na Serikali yake kuweza kuzifahamu kero zetu za yanayotusumbua kama Watanzania ambayo tungependa yafanyiwe kazi.

Karibuni sana.

MWONGOZO: Elezea jipu/kero yako na kama ina ufafanuzi wa kutosha (nani, wapi, lini, kivipi n.k) ukiambatana na nyaraka itapendeza zaidi.

Kero hizi zitachapwa na kupelekwa kwa mamlaka husika ili zifanyiwe ufuatiliaji.

Sababu Moja Hamna Hela mitaani, nimekutana na mama aliyekuwa na tenda ya kusimamia vyoo Jiji Moja Kanda ya ziwa, analia Pombe yuwapi, kasema Mafisadi wa majiji washajinufaisha na hizo tenda🤔
 
Naomba nitupie hii kwa CAG kama ilivyo wadau


Hello CAG
It is my hope that you are doing fine, and I am also terrific. It is a great honour for us and our nation to have you in that office.
CAG I am very much patriotic with our nation and national resources, in fact, I underline the concept of Good Governance and it is my prayers to All Mighty God to give me Good Governance-GC life. It has come to my attention to share with you my feelings because I know you are public eye to oversee public affairs and also the Good Governance as well. CAG I wish to share with you in person and your office too my observation as of TANAPA staff regarding your staff-external auditors who have been assigned to audit our affairs annually. Let me itemize them below as follows; -

  1. They have been failing to query pertinent issues regarding Good Governance e.g., various misappropriation of funds in their normal duties on various occasion as they are paid a lot by TANAPA both in subsistence and accommodation and nowhere I had seen your staff questioning……….. our management call it………. finalization of accounts expenses…..
  2. Your staffs’ independence has been impaired a lot here at our organization as gifts given to them, amount to impair their recommendation and the conclusion they draw thereon. For instance, they are paid for their accommodation in an expensive hotel in Arusha (I can send you evidence), previously they were given trips to different Nations like Rwanda, South Africa, Kenya, and Uganda the reasons being to visit those Countries’ Parks so that can advise adequately. Currently, due to the COVID-19 pandemic, they were paid heavy brown envelopes which are supported by fake receipts to accommodate them in the systems.
  3. For example, in the recent financial audit-2020/2021 followed by a special forensic audit, your staff were impaired a lot even though I warned them secretly for being in our spotlights. This time around were paid those heavy brown envelopes without acknowledgment and receipts are reproduced/bought from other people to support cash in the envelopes just as other normal payments…...I have replies of emails confirmation for of bundle of receipts made for supporting our payments which are confirmed to be dishonored from another side……….
  4. To make things worse the internal audit management has been…. being part and parcel of the above arrangement to ensure covered bribes are uncovered. The way things are, it takes a courageous person like me to explain this widely opened pandora box…..if you can cover corruption to externals so should I to myself…...
Just to tip you, before they were paid accept payments by signing them in their signatures but the moment, they noted there is unknown questioning, they don’t sign nowadays, and this includes even part of management themselves. Please take it seriously, and I may offer any cooperation of further evidence that may be required from this side and my wish is to get rid of this behavior and change to a professional one.



Thanks, Regard TANAPA STAFF
 
Habari! Nataka kujua ule mpago wa mabenki nchini Tanzania kutamiwa kupunguza riba za mikopo umefikia wapi kwa anaye just tafadhar, au ndio zilikuwa ni siasa za wakuu wa nchi wa mwananchi was tabaka la chini[emoji847][emoji847][emoji847]
Map-of-Africa-highlighting-countries.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom