Toka Mchamba Wima hadi Iran, nahitaji kwenda kutafuta maisha

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Vijana wengi hapa Mchamba Wima wamekimbilia Marekani, Canada na UK kutafuta maisha. Mimi naona wamepotea.

Mimi nataka kwenda Iran au Saudi Arabia naamini Waarabu na Waajemi watanipokea na kunipa mke nioe ili niweze kupewa ukaazi wa kudumu.

Ikiwa wale walioenda marekani, canada na uk wameoa mpaka wazungu na hawakubaguliwa mimi nashindwaje kuoa mwarabu na nimehifadhi kitabu chao?
 
Nenda Vatican,mchukue na mumeo ili mkabarikiwe na Papa coz sasa hivi ni ruksa.
 
Kuna wahamiaji milioni 13 Saudi Arabia. Wachapa kazi kikamilifu na Wana toa
dollar billion 40 kupeleka nchi zao .
Kama unafikiri uende huko na domo tu na ubongo wa kuku utapata taabu. Kaa tu hapo ulipo uokote maembe ule
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Safi sana Maalimu kwa kuhifandi hicho kitabu chao ila bado wana changamoto kubwa ya Ubaguzi
 
walioenda utumwani kipindi hicho mabaki yapo ndo akina 50 cent wa sasa, vp watumwa walioenda uarabuni walienda wapi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…