MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Dare for more 😅🏃Sasa Mkuu si kila mtu ana maoni yake jamani?
Hatuwezi kuwa na mtazamo unaofanana.
Yes, kulikuwa na nguvu kubwa ya FIFA kuonesha walitaka Messi ashinde kabla na baada ya fainali.