MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Dare for more π πSasa Mkuu si kila mtu ana maoni yake jamani?
Hatuwezi kuwa na mtazamo unaofanana.
Yes, kulikuwa na nguvu kubwa ya FIFA kuonesha walitaka Messi ashinde kabla na baada ya fainali.
Ni maoni yako nimeyajibu kwa hoja sio lazima tufanane mitazamo ila tunaelekezana tu.Sasa Mkuu si kila mtu ana maoni yake jamani?
Hatuwezi kuwa na mtazamo unaofanana.
Yes, kulikuwa na nguvu kubwa ya FIFA kuonesha walitaka Messi ashinde kabla na baada ya fainali.
Ukweli mchungu sana huu kwa timu Andunje [emoji1]Sasa Mkuu si kila mtu ana maoni yake jamani?
Hatuwezi kuwa na mtazamo unaofanana.
Yes, kulikuwa na nguvu kubwa ya FIFA kuonesha walitaka Messi ashinde kabla na baada ya fainali.
2022 Kombe la dunia lililokosa ladha tangu kuumbwa kwa dunia sababu ya mbeleko za penati 7 kwa Argentina [emoji1732][emoji38]Ni maoni yako nimeyajibu kwa hoja sio lazima tufanane mitazamo ila tunaelekezana tu.
Thibitisha kauli yako kuwa fifa ilitaka messi ashinde WC.
Uzuri wa mpira wa miguu ni mchezo wa wazi, tuliona fainali za WC kuanzia gemu ya ufunguzi mpaka fainali, unataka kusema Argentina hakucheza mechi zote akiisubiria fainal kwa kupangwa?
Ni wivu tu unawasumbua2022 Kombe la dunia lililokosa ladha tangu kuumbwa kwa dunia sababu ya mbeleko za penati 7 kwa Argentina [emoji1732][emoji38]
Basi acheni kulia lia sasaSio shida zake.
Sasa Ronaldo anaangushwaje na Ureno?! Hivi kuna tournament yoyote ambayo Ureno amewahi kwenda kinyonge?! Siku zote hawa jamaa wana kikosi bora na wachezaji wazuri lakini wanachokosa ni ile mentality ya ubingwa na makombe lakini kuhusu wachezaji toka enzi za Euro 2000 kina Rui Costa, Sao Pinto, Joao Pinto, Luis Figo njoo hadi kwenye kizazi cha akina Postiga, Jorge Andrade, Nuno Gomez, Nuno Vallente, Ricardo Quaresma, njoo kwa akina Ronaldo wenyewe Euro 2004 wanapigwa na Wagiriki hadi leo kina Rafael Leao, Joao Cancello, Bernardo Silva....ni lini hawa jamaa hawana wachezaji wenye quality?!Ronaldo anaangushwa na ureno angekua muingereza huenda angekua na world cup by now
Akili za Utopolo hizi
Umeshawahi kujiuliza vipi kama Messi angechezea Spain angekua na World cup ngapi?Ronaldo anaangushwa na ureno angekua muingereza huenda angekua na world cup by now
Ronaldo anaangushwa na ureno angekua muingereza huenda angekua na world cup by now
π§π§π¨π¨sometimes ni issue ya bahati na timing
Saiv anacheza Porn movies au?GOAT Alishamaliza mpiraView attachment 2816311
Asante Nifah watu wanatoka Nje ya Mada kinomaSasa Ronaldo anaingiaje hapa jamani? Mtu kauliza swali lingine mnaleta mambo ya kombe la dunia.
Kombe lenyewe la mechi za kufix ili ashinde!
Rubbish.
Punguza Bangi utakua mtu mwenye manufaaa kwa jamiiCristiano Ronaldo na Kibu Denis wote wawili hawana kombe la dunia.
Unakatwa na POPOπAkili za Utopolo hizi
Kombe la Dunia hata Mendy aliekua anashutumiwa na ubakaji analo so sio issue ila tunasema Individual performanceLeteni hapa kombe la dunia la Christiano Ronaldo ndio tutawasikiliza.
Pole sana mkuu. Najua inauma ila YATAPITASaiv anacheza Porn movies au?