The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 458
- 1,280
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marehemu SAmweli Sitta ndilo bunge ambalo kwangu kwa generation yangu lilikuwa la moto na wabunge wa upinzani na ccm kuna wakati walikuwa wanasimama pamoja kwa maslahi ya taifa.Bunge la Job Ndugai
Bunge la Anne Makinda
Bunge la Samweli Sitta
Bunge la Pius Msekwa.
Bunge la Tulia Akson
Lipi lilikidhi Kiu yako na uliona kama faida kwa nchi na lipi halijawahi kukata kiu yako na unaliona kama hasara kwa nchi?