GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Ni yule aliyetangaza mechi ya Yanga na mbao ambapo yanga alipigwa
2 - 0, yaani kama ni mshabiki wa Yanga na ulisikiliza namna alivyotangaza
yale magoli ni lazima upate maumivu mara mbili. Nakumbuka siku ile nililazimika
kumeza 'Valium' Dawa ya usingizi kwa hasira kutokana na utangazaji ule,
Jamani hivi wapi mmewahi kusikia utangazaji wa kinoko namna ile?
2 - 0, yaani kama ni mshabiki wa Yanga na ulisikiliza namna alivyotangaza
yale magoli ni lazima upate maumivu mara mbili. Nakumbuka siku ile nililazimika
kumeza 'Valium' Dawa ya usingizi kwa hasira kutokana na utangazaji ule,
Jamani hivi wapi mmewahi kusikia utangazaji wa kinoko namna ile?