toka nimwambie mie ni bikira mmmh!

oooohhhh dear
hawa wanaume zetu hawaeleweki siku hizi dear.

wakipata virgin ....wanasema hana experience
wakipata ambae sie ..... mmmhhhh malaya..

bibie weye umejitunza vizuri tangia..
kwa hiyo asikuletee za kuleta na kukukosesha raha..
endelea kwa na msimamo wako..

kama kweli anakupenda basi avumilie..
usimrembeshee kabisa kwani hujui anawaza nini...

take care dear
AD
 

hahahaa...nimependa hapa!! kumbe unajua mchezo! usilogwe umpe!!
 
hahahaa...nimependa hapa!! kumbe unajua mchezo! usilogwe umpe!!

kumbe hata we unajua kutoa ushuri..
kula legi..
hii mpya..

duuuhh salale kasi kolumayo..
hahhaah lol

kalale huko..lol
saa za watoto zimefika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…