Toka nipo mkoa mwingine hanitafuti mpaka nimtafute, nifanyeje?

Toka nipo mkoa mwingine hanitafuti mpaka nimtafute, nifanyeje?

Suala hili halikuihitaji kufikia mpaka kuandika hapa yaani mpaka sasa ilibidi ue ushamuacha huyo mwanamke.

Kutafuta/kutokutafutwa haya ni mambo ya KIHISIA, kama hakutafuti mpaka umtafute maanayake HANA HISIA NA WEWE na Hisia hailazimishwi inabidi awenayo mtu automatically.

JIBU: Usimtafute tena njia pekee ya mahusiano kueendelea ni yeye kukutafuta wewe na si wewe tena, hata akikutafuta usimtafute yaani inabidi igeuke yeye tu ndio akutafute wewe Hapo ndio ufikirie tena kuendeleza mahusiano mbali na hapo piga kimya mazima.
Ushauri mzuri wa kuufanyia kazi/kuutekeleza
 
Habari zenu wakuu,

Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi ila wakuu nikama simuelewi hivi yani nisipo mtafuta na yeye anitafuti kila mara lazima mimi ndie naanza kumtafuta yeye hapo ndipo tutakapo endelea kuwasiliana kwa amani na furaha tele kila muda tunaongea kama kujuliana hali etc,

Ikumbukwe pia nilivyokuwa karibu naye yani tulivyokuwa mkoa mmoja hakuwa natatizo lolote huku akiniahidi mengi japo pia kuwa anaonekana ni mtu wa misimamo nakupenda ufuate anachokiamini, huku pia kilaninapo msihi kuhusu "MZAGAMUANO" huwa anapinga vikali nakudai hadi nimuoe ni mtu wa Dini sana na mara nyingi kunisisitiza kuhusu ibada na mengineyo

Tatizo lipo kwenye mimi kuanza kumtafuta kila siku ndipo na yeye anitafute!!? na vipi suala lakunipa papuchi nikimgusia hataki kabisa,

Ushauri wenu wakuu tafadhalini nimpotezee au nifanyaje japo nampenda mno ila naumia

Ahsanteni.
Hiyu unamlazimisha ye anampenda mwaume mwingine kabisa piga chin anza upya
 
Huyo demu anafaa sana, simu na meseji za kila mara zinaboa.

I like my space hii mambo ya kuwasiliana mara nyinginyingi sometime ni kukaribisha ugomvi tu.
 
Habari zenu wakuu,

Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi ila wakuu nikama simuelewi hivi yani nisipo mtafuta na yeye anitafuti kila mara lazima mimi ndie naanza kumtafuta yeye hapo ndipo tutakapo endelea kuwasiliana kwa amani na furaha tele kila muda tunaongea kama kujuliana hali etc,

Ikumbukwe pia nilivyokuwa karibu naye yani tulivyokuwa mkoa mmoja hakuwa natatizo lolote huku akiniahidi mengi japo pia kuwa anaonekana ni mtu wa misimamo nakupenda ufuate anachokiamini, huku pia kilaninapo msihi kuhusu "MZAGAMUANO" huwa anapinga vikali nakudai hadi nimuoe ni mtu wa Dini sana na mara nyingi kunisisitiza kuhusu ibada na mengineyo

Tatizo lipo kwenye mimi kuanza kumtafuta kila siku ndipo na yeye anitafute!!? na vipi suala lakunipa papuchi nikimgusia hataki kabisa,

Ushauri wenu wakuu tafadhalini nimpotezee au nifanyaje japo nampenda mno ila naumia

Ahsanteni.
Huna chako, wewe ni spea tairi tu.

Mwanamke akikupenda ukiwa mbali simu hazikauki.
Kuna jamaa anatafutwa na ndiye anamsugua sana tu
 
Kijana nikushauri tu, hapo hamna mtu.

Huyo kuna mwamba anamkula vizuri sana... na hana hisia na wewe.

Mbili, usiwekeze hisia wala mali/pesa hapo.

Mapenzi ni two way traffic wengine tunapigiwa simu saa 12 asubuhi, isipopokelewa zinafata SmS za kujuliwa hali na kuombewa kadua kafupi.

Pole sana.
Yes
 
Anacheza na akili yako huyo, na amejitahidi kujificha kwenye kichaka cha dini ukamatike. Kwani bado bikra?

Hisia za moyo wake zipo kule kwa ampendae na sio wewe, na ndo maana hajali kukupoteza. Hata usipompigia kwake haitakuwa na athari yoyote, huyo anakutega tu.

Jitahidi kupenda pale unapopendwa, inaleta furaha na amani ya moyo mkuu.

Mahusiano ya sasa ni sawa na mchezo wa bet.
 
Vile namtafuta kila mara👇🐒🐒🐒
AAgvmL.jpeg
 
Huyo demu anafaa sana, simu na meseji za kila mara zinaboa.

I like my space hii mambo ya kuwasiliana mara nyinginyingi sometime ni kukaribisha ugomvi tu.
Jifunze kuelewa mada kabla kukuruouka, Kuna tofauti kati ya kuto kutafutwa na kuto kutafutwa mara kwa mara
 
Kuna vijana mna'ufala mwingi Sana, Mtu akutafuti, kwanini unaendelea kujiliza kwake?

Kwani wanawake wameisha mtaani kwenu?

JINGA KABISA
 
Habari zenu wakuu,

Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi ila wakuu nikama simuelewi hivi yani nisipo mtafuta na yeye anitafuti kila mara lazima mimi ndie naanza kumtafuta yeye hapo ndipo tutakapo endelea kuwasiliana kwa amani na furaha tele kila muda tunaongea kama kujuliana hali etc,

Ikumbukwe pia nilivyokuwa karibu naye yani tulivyokuwa mkoa mmoja hakuwa natatizo lolote huku akiniahidi mengi japo pia kuwa anaonekana ni mtu wa misimamo nakupenda ufuate anachokiamini, huku pia kilaninapo msihi kuhusu "MZAGAMUANO" huwa anapinga vikali nakudai hadi nimuoe ni mtu wa Dini sana na mara nyingi kunisisitiza kuhusu ibada na mengineyo

Tatizo lipo kwenye mimi kuanza kumtafuta kila siku ndipo na yeye anitafute!!? na vipi suala lakunipa papuchi nikimgusia hataki kabisa,

Ushauri wenu wakuu tafadhalini nimpotezee au nifanyaje japo nampenda mno ila naumia

Ahsanteni.
Bado Hujasema 😅😅😅
 
Habari zenu wakuu,

Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi ila wakuu nikama simuelewi hivi yani nisipo mtafuta na yeye anitafuti kila mara lazima mimi ndie naanza kumtafuta yeye hapo ndipo tutakapo endelea kuwasiliana kwa amani na furaha tele kila muda tunaongea kama kujuliana hali etc,

Ikumbukwe pia nilivyokuwa karibu naye yani tulivyokuwa mkoa mmoja hakuwa natatizo lolote huku akiniahidi mengi japo pia kuwa anaonekana ni mtu wa misimamo nakupenda ufuate anachokiamini, huku pia kilaninapo msihi kuhusu "MZAGAMUANO" huwa anapinga vikali nakudai hadi nimuoe ni mtu wa Dini sana na mara nyingi kunisisitiza kuhusu ibada na mengineyo

Tatizo lipo kwenye mimi kuanza kumtafuta kila siku ndipo na yeye anitafute!!? na vipi suala lakunipa papuchi nikimgusia hataki kabisa,

Ushauri wenu wakuu tafadhalini nimpotezee au nifanyaje japo nampenda mno ila naumia

Ahsanteni.
Hautakiwi uwekeze kwa mwanamke maana muda wowote anakuacha.
Usiweke pesa, mali na akili kwa mwanamke kwasababu mwanamke muda wowote anakuacha. Utahonga wee, utatumia akili yako kwake na mwisho atakuacha.
Katika watu wasumbufu ni wanawake, mwanamke km ana nia na wewe atakusumbua sana kwenye mahusiano, simu atakuwa anakupigia kila muda na meseji kukujulia hali. Ukiona vyote kimya ujue ana mtu
 
Hautakiwi uwekeze kwa mwanamke maana muda wowote anakuacha.
Usiweke pesa, mali na akili kwa mwanamke kwasababu mwanamke muda wowote anakuacha. Utahonga wee, utatumia akili yako kwake na mwisho atakuacha.
Katika watu wasumbufu ni wanawake, mwanamke km ana nia na wewe atakusumbua sana kwenye mahusiano, simu atakuwa anakupigia kila muda na meseji kukujulia hali. Ukiona vyote kimya ujue ana mtu
Ahsante kwa ushauri mkuu
 
Maana yake hapo kuna mtu alikuwa anakula na bado anaendelea kula,hawa mademu syo kabisa
 
Habari zenu wakuu,

Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi ila wakuu nikama simuelewi hivi yani nisipo mtafuta na yeye anitafuti kila mara lazima mimi ndie naanza kumtafuta yeye hapo ndipo tutakapo endelea kuwasiliana kwa amani na furaha tele kila muda tunaongea kama kujuliana hali etc,

Ikumbukwe pia nilivyokuwa karibu naye yani tulivyokuwa mkoa mmoja hakuwa natatizo lolote huku akiniahidi mengi japo pia kuwa anaonekana ni mtu wa misimamo nakupenda ufuate anachokiamini, huku pia kilaninapo msihi kuhusu "MZAGAMUANO" huwa anapinga vikali nakudai hadi nimuoe ni mtu wa Dini sana na mara nyingi kunisisitiza kuhusu ibada na mengineyo

Tatizo lipo kwenye mimi kuanza kumtafuta kila siku ndipo na yeye anitafute!!? na vipi suala lakunipa papuchi nikimgusia hataki kabisa,

Ushauri wenu wakuu tafadhalini nimpotezee au nifanyaje japo nampenda mno ila naumia

Ahsanteni.
 

Attachments

  • IMG_1018.jpeg
    IMG_1018.jpeg
    12.3 KB · Views: 5
Suala hili halikuihitaji kufikia mpaka kuandika hapa yaani mpaka sasa ilibidi ue ushamuacha huyo mwanamke.

Kutafuta/kutokutafutwa haya ni mambo ya KIHISIA, kama hakutafuti mpaka umtafute maanayake HANA HISIA NA WEWE na Hisia hailazimishwi inabidi awenayo mtu automatically.

JIBU: Usimtafute tena njia pekee ya mahusiano kueendelea ni yeye kukutafuta wewe na si wewe tena, hata akikutafuta usimtafute yaani inabidi igeuke yeye tu ndio akutafute wewe Hapo ndio ufikirie tena kuendeleza mahusiano mbali na hapo piga kimya mazima.
Nakazia hapa
 
Back
Top Bottom