Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ushauri mzuri wa kuufanyia kazi/kuutekelezaSuala hili halikuihitaji kufikia mpaka kuandika hapa yaani mpaka sasa ilibidi ue ushamuacha huyo mwanamke.
Kutafuta/kutokutafutwa haya ni mambo ya KIHISIA, kama hakutafuti mpaka umtafute maanayake HANA HISIA NA WEWE na Hisia hailazimishwi inabidi awenayo mtu automatically.
JIBU: Usimtafute tena njia pekee ya mahusiano kueendelea ni yeye kukutafuta wewe na si wewe tena, hata akikutafuta usimtafute yaani inabidi igeuke yeye tu ndio akutafute wewe Hapo ndio ufikirie tena kuendeleza mahusiano mbali na hapo piga kimya mazima.
Hiyu unamlazimisha ye anampenda mwaume mwingine kabisa piga chin anza upyaHabari zenu wakuu,
Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi ila wakuu nikama simuelewi hivi yani nisipo mtafuta na yeye anitafuti kila mara lazima mimi ndie naanza kumtafuta yeye hapo ndipo tutakapo endelea kuwasiliana kwa amani na furaha tele kila muda tunaongea kama kujuliana hali etc,
Ikumbukwe pia nilivyokuwa karibu naye yani tulivyokuwa mkoa mmoja hakuwa natatizo lolote huku akiniahidi mengi japo pia kuwa anaonekana ni mtu wa misimamo nakupenda ufuate anachokiamini, huku pia kilaninapo msihi kuhusu "MZAGAMUANO" huwa anapinga vikali nakudai hadi nimuoe ni mtu wa Dini sana na mara nyingi kunisisitiza kuhusu ibada na mengineyo
Tatizo lipo kwenye mimi kuanza kumtafuta kila siku ndipo na yeye anitafute!!? na vipi suala lakunipa papuchi nikimgusia hataki kabisa,
Ushauri wenu wakuu tafadhalini nimpotezee au nifanyaje japo nampenda mno ila naumia
Ahsanteni.
Huna chako, wewe ni spea tairi tu.Habari zenu wakuu,
Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi ila wakuu nikama simuelewi hivi yani nisipo mtafuta na yeye anitafuti kila mara lazima mimi ndie naanza kumtafuta yeye hapo ndipo tutakapo endelea kuwasiliana kwa amani na furaha tele kila muda tunaongea kama kujuliana hali etc,
Ikumbukwe pia nilivyokuwa karibu naye yani tulivyokuwa mkoa mmoja hakuwa natatizo lolote huku akiniahidi mengi japo pia kuwa anaonekana ni mtu wa misimamo nakupenda ufuate anachokiamini, huku pia kilaninapo msihi kuhusu "MZAGAMUANO" huwa anapinga vikali nakudai hadi nimuoe ni mtu wa Dini sana na mara nyingi kunisisitiza kuhusu ibada na mengineyo
Tatizo lipo kwenye mimi kuanza kumtafuta kila siku ndipo na yeye anitafute!!? na vipi suala lakunipa papuchi nikimgusia hataki kabisa,
Ushauri wenu wakuu tafadhalini nimpotezee au nifanyaje japo nampenda mno ila naumia
Ahsanteni.
YesKijana nikushauri tu, hapo hamna mtu.
Huyo kuna mwamba anamkula vizuri sana... na hana hisia na wewe.
Mbili, usiwekeze hisia wala mali/pesa hapo.
Mapenzi ni two way traffic wengine tunapigiwa simu saa 12 asubuhi, isipopokelewa zinafata SmS za kujuliwa hali na kuombewa kadua kafupi.
Pole sana.
Kwa kawaida binadamu ana nafs mbili kuna ile ya ndani na nje sikiliza vizuri ya ndani inashauri nn juu ya huyo mtuAhsante sana mkuu
Jifunze kuelewa mada kabla kukuruouka, Kuna tofauti kati ya kuto kutafutwa na kuto kutafutwa mara kwa maraHuyo demu anafaa sana, simu na meseji za kila mara zinaboa.
I like my space hii mambo ya kuwasiliana mara nyinginyingi sometime ni kukaribisha ugomvi tu.
Acheni kubembeleza mahusiano unaona kabisa hupendwi unakomaa tuJifunze kuelewa mada kabla kukuruouka, Kuna tofauti kati ya kuto kutafutwa na kuto kutafutwa mara kwa mara
Bado Hujasema π π πHabari zenu wakuu,
Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi ila wakuu nikama simuelewi hivi yani nisipo mtafuta na yeye anitafuti kila mara lazima mimi ndie naanza kumtafuta yeye hapo ndipo tutakapo endelea kuwasiliana kwa amani na furaha tele kila muda tunaongea kama kujuliana hali etc,
Ikumbukwe pia nilivyokuwa karibu naye yani tulivyokuwa mkoa mmoja hakuwa natatizo lolote huku akiniahidi mengi japo pia kuwa anaonekana ni mtu wa misimamo nakupenda ufuate anachokiamini, huku pia kilaninapo msihi kuhusu "MZAGAMUANO" huwa anapinga vikali nakudai hadi nimuoe ni mtu wa Dini sana na mara nyingi kunisisitiza kuhusu ibada na mengineyo
Tatizo lipo kwenye mimi kuanza kumtafuta kila siku ndipo na yeye anitafute!!? na vipi suala lakunipa papuchi nikimgusia hataki kabisa,
Ushauri wenu wakuu tafadhalini nimpotezee au nifanyaje japo nampenda mno ila naumia
Ahsanteni.
Hautakiwi uwekeze kwa mwanamke maana muda wowote anakuacha.Habari zenu wakuu,
Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi ila wakuu nikama simuelewi hivi yani nisipo mtafuta na yeye anitafuti kila mara lazima mimi ndie naanza kumtafuta yeye hapo ndipo tutakapo endelea kuwasiliana kwa amani na furaha tele kila muda tunaongea kama kujuliana hali etc,
Ikumbukwe pia nilivyokuwa karibu naye yani tulivyokuwa mkoa mmoja hakuwa natatizo lolote huku akiniahidi mengi japo pia kuwa anaonekana ni mtu wa misimamo nakupenda ufuate anachokiamini, huku pia kilaninapo msihi kuhusu "MZAGAMUANO" huwa anapinga vikali nakudai hadi nimuoe ni mtu wa Dini sana na mara nyingi kunisisitiza kuhusu ibada na mengineyo
Tatizo lipo kwenye mimi kuanza kumtafuta kila siku ndipo na yeye anitafute!!? na vipi suala lakunipa papuchi nikimgusia hataki kabisa,
Ushauri wenu wakuu tafadhalini nimpotezee au nifanyaje japo nampenda mno ila naumia
Ahsanteni.
Ahsante kwa ushauri mkuuHautakiwi uwekeze kwa mwanamke maana muda wowote anakuacha.
Usiweke pesa, mali na akili kwa mwanamke kwasababu mwanamke muda wowote anakuacha. Utahonga wee, utatumia akili yako kwake na mwisho atakuacha.
Katika watu wasumbufu ni wanawake, mwanamke km ana nia na wewe atakusumbua sana kwenye mahusiano, simu atakuwa anakupigia kila muda na meseji kukujulia hali. Ukiona vyote kimya ujue ana mtu
Habari zenu wakuu,
Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi ila wakuu nikama simuelewi hivi yani nisipo mtafuta na yeye anitafuti kila mara lazima mimi ndie naanza kumtafuta yeye hapo ndipo tutakapo endelea kuwasiliana kwa amani na furaha tele kila muda tunaongea kama kujuliana hali etc,
Ikumbukwe pia nilivyokuwa karibu naye yani tulivyokuwa mkoa mmoja hakuwa natatizo lolote huku akiniahidi mengi japo pia kuwa anaonekana ni mtu wa misimamo nakupenda ufuate anachokiamini, huku pia kilaninapo msihi kuhusu "MZAGAMUANO" huwa anapinga vikali nakudai hadi nimuoe ni mtu wa Dini sana na mara nyingi kunisisitiza kuhusu ibada na mengineyo
Tatizo lipo kwenye mimi kuanza kumtafuta kila siku ndipo na yeye anitafute!!? na vipi suala lakunipa papuchi nikimgusia hataki kabisa,
Ushauri wenu wakuu tafadhalini nimpotezee au nifanyaje japo nampenda mno ila naumia
Ahsanteni.
Nakazia hapaSuala hili halikuihitaji kufikia mpaka kuandika hapa yaani mpaka sasa ilibidi ue ushamuacha huyo mwanamke.
Kutafuta/kutokutafutwa haya ni mambo ya KIHISIA, kama hakutafuti mpaka umtafute maanayake HANA HISIA NA WEWE na Hisia hailazimishwi inabidi awenayo mtu automatically.
JIBU: Usimtafute tena njia pekee ya mahusiano kueendelea ni yeye kukutafuta wewe na si wewe tena, hata akikutafuta usimtafute yaani inabidi igeuke yeye tu ndio akutafute wewe Hapo ndio ufikirie tena kuendeleza mahusiano mbali na hapo piga kimya mazima.