Kwa hiyo waarabu hawana haki ya kufanya na kuwekeza kwaajili ya manufaa ya mataifa yao?Walivyoandaa kombe la dunia huko uarabuni lilikuwa linatumika kama organ ya propaganda ya kueneza dini na Mila za kiarabu
Ununuaji wa timu kubwa za ulaya zinatumima kama organ ya kueneza Mila za kiarabu na dini
Ununuaji wa wachezaji maarufu kwa garama kubwa unatumika kama organ ya kueneza dini na Mila za kiarabu. Fuatilia kwa makini kwenye mitandao wanavyomtumia Ronaldo na kumtweza mesi kwa kukataa ofa zao
Chuki imekuwa kubwa kuliko hoja uliyotaka kujenga, mpira wa miguu hauko Ulaya pekee.Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships.
Uelewa wako ni mdogo sana kwenye hili suala la citizenship.Acha ujinga. MO ni mtanzania kwa vibali haimaanishi yeye ni Mwafrika kama mimi, yeye ni muhindi. Wale wamarekani weusi ni wamarekani lakini haimaanishi wao ni wazungu weupe. Wamarekani weusi ni waafrika tu hata wakatae kuitwa hivyo.
Nimetumia simple explanation ways bila shaka tumeelewana hapo.
Ligi za Ulaya ni bora kulinganisha na zipi? Dunia haiko Ulaya tu. Kuna ligi za Marekani ya kusini, Afrika, na sasa Arabuni.kwa hiyo hiyo ligi yao itafika wakati itakuwa ligi bora duniani kupita ligi za uefa? Sawa tusubiri wakati
Wazungu waliwakatalia Tena Rais wa Uefa kabsa aliitisha press na akasem Bila aibu Kwamba Ligi la ulaya ni kwa Timu za ulaya tu Sio kwa timu nyngne kutoka uarabuni,Wazungu hua hawana noma wanaweza wapa
Sasa mtu akimchukia mwarabu ndio anakua mkristo? Mpagani, Buddha, Hindu, Rastafari hawawezi mchukia mwarabu?Too much wewe angalia mada zao humu eti mtu annanzisha mada anachukia mtu kuvaa hijabu, mwingine anamchukia muarabu kisa anawekeza kwenye mpira , mtu pesa yake wewe unakaa huku unaleta makasiriko kisa tu muarabu, ukitaka kujua wakristo wa tanzania pitia comments zao kwenye mambo ya vita vya israel na hamas , halafu nenda pitia comments za wazungu kwenye channel kama sky news utaona utofauti , wakati wazungu wanaomba vita iishe na kuwe na amani , mkristo wa tanzania anakwambia wasafishwe wote magaidi tu israel haijawahi kupigwa taifa teule aisee
Mkuu ni kama hoja yako ina make sense hivi!!? Kiufupi nimekuelewa!Nakumbuka miaka ya 2000 kurudi nyuma nchi za Waarabu zilikuwa zimeuweka mpira kama haramu. Nafikiri ujinga umewaisha kichwani sasa wamevamia mpira wanamwaga pesa za mafuta.
Wananunua vilabu vya Ulaya na kuweka blood money huko. Alianza PSG kwa kuvuruga hisia za wachezaji na mashabiki kumwaga mapesa bila mpangilio. Mafanikio yao ni kama white elephant projects.
Wanashinda lakini mashabiki kama hawana furaha, angalia Manchester City wameshinda kila kitu ila ni kama hawajashinda chochote (wachezaji hawapati pure passion kutoka kwa mashabiki) ni kama wamenunua makombe.
Angalia kina Ronaldo wametimkia Uarabuni lakini wanalipa, mapesa mengi kwenye media za magharibi waendelee kutangazwa ili wasisahaulike.
PSG walimsajili messi lakini ni kama hawakuwa na Messi kwasababu ni timu fake yenye mapesa.
Waarabu wameingiza pesa wananunua kila kitu, nahisi hata waamuzi wameanza kuingia kwenye mifuko ya Waarabu.
Kiufupi Waarabu wao ni watu waharibifu, ukiangalia ligi inayochezwa kule katikati ya jangwa Saudi Arabia ni vichekesho vitupu (mashabiki wanaingia bure wanaambiwa washangilie muda wote) sasa huu ni mpira?
Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships.
Ukienda kuangalia mechi ya Championship ya Stoke City utaona mashabiki walivyo na passion kuliko ukienda kutazama mpira Etihad under oil money.
I hope hili wimbi la oil money kwenye mpira litapita lituachie mpira wetu halisi.
Chuki yao inajengwa na wivu wao wa kijinga,Ivi Waarabu waliikosea nini Dunia aisee Maan Chuki ya Watu Dhidi yao ni Kubwa mno.
Hio chuki nihisia zako tu ila watu wanaongoza kuchukiwa duniani niwatu wenye rangi nyeusi yan hawa wananyanyapaliwa kila kona yadunia... Nikama wew mtu kukwambia mbona unamapenz makubwa sana nawarabu kulikoniIvi Waarabu waliikosea nini Dunia aisee Maan Chuki ya Watu Dhidi yao ni Kubwa mno.
Hakika umenenaMpira Ni pesa ...
Watu wametoka africa familia masikini za kutupwa wanaenda ulaya kuvuja Damu na jasho kupata pesa ....
Hizo passion , culture na friendship vinaweza kununua Unga super market ? ,au vinaweza kumsaidia kujenga nyumba nzuri na kusaidia ndugu WA mchezaji ?....
Zaman wachezaji walikuwa wanacheza kunufaisha wamiliki WA team huku wao wakifa masikini,mpaka sasa wengine wanajuta ... ...
Sasa mchezaji hata akishinda CL ,PL kama pesa Hana kuna faida gani ? Mbaya Zaidi atatambulika na jamii kuwa kacheza man U , Liverpool na mpaka Leo anaishi nyumba ya kupanga ,au kashindwa kulipa Kodi ,au Ni masikini WA kutupwa,,,,,huoni wale legend WA man U saizii rashford ndio anawalipia rent waliendekeza ujinga WA passion ,sasa passion imewalipa nin[emoji23]
Saizii wachezaji wamesanuka ,no money no football ,uwanjan watu wanafia kule ,nguvu kubwa inatumika kwenye football ,na ukifika tu 34 years your useless Hakuna MTU wala team itakayokutaka Tena harafu unataka tucheze kijinga Bila pesa et passion ? Yaani wanitumie wao ikifika miaka 30 kiwango kimeshuka wananikataa narudi kulima kijijini maana hio passion na fans base havina uwezo wa kunilisha Zaidi ya kunicheka kuwa nimekuwa mchezaji mkubwa lakin nimekufa masikini,mbaya Zaidi watanitukana kuwa Sina akili [emoji23]
Waaarabu wamekuja kuleta thamani ya mpira ndio maana kina Kante ,mahrez ,Mendy ,Ronaldo wako kule kuvuna pesa ,wanajua kabisa CL Ni ujinga Bila kuwa na pesa mfukoni ,,,,sawa umeisaidia team kuchukua CL umepata like na followers mtandaon then what next kama pesa Sina [emoji23],Si ujinga mtupu ...
Ni kweli rangi nyeusi ndo tunaongoza kuchukiwa ila hii mada inaongelea waarabu Na mim nimecomment kulingana na Mada husika.Hio chuki nihisia zako tu ila watu wanaongoza kuchukiwa duniani niwatu wenye rangi nyeusi yan hawa wananyanyapaliwa kila kona yadunia... Nikama wew mtu kukwambia mbona unamapenz makubwa sana nawarabu kulikoni
Umeongea ukweli mtupu MkuuChuki yao inajengwa na wivu wao wa kijinga,
Europe wanaua mpira wa South America na mabara mengine kwa fedha kwa makusudi kabisa tena kwa miaka mingi sana ila hatukuona hizo ngonjera zao za kulia lia,Europe ana nunua wachezaji wa South America kisha anawapiga bench Europe ili kuua tu ligi za huko zisiwe bora kuliko ligi za Europe.
Hahahaha dahMkristo na chuki wapi na wapi?
Walio haribu ladha ya mpira ni wazungu walio zidisha visheria vya hovyo kwenye mpira, pia kujaribu kutumia mpira kupitisha ajenda zao chafu kama kutangaza ushoga.
Tena teknolojia kwenye mpira ndo imekuja kuharibu kila kitu. Waarabu usiwasingizie japo kuwa unawachukia.
Wewe mgalatia pori ni kweli wazungu sio wajinga si ndio wanawalazimisha muikubali LGBTQ kufumuana malinda?Mpira unaenda kuua upuuzi wa dini ya kigaidi hapo middle east,wazungu sio wajinga.