Toka Waarabu waanze kujiingiza kwenye mpira Soka limeanza kupoteza ladha

Toka Waarabu waanze kujiingiza kwenye mpira Soka limeanza kupoteza ladha

Walivyoandaa kombe la dunia huko uarabuni lilikuwa linatumika kama organ ya propaganda ya kueneza dini na Mila za kiarabu

Ununuaji wa timu kubwa za ulaya zinatumima kama organ ya kueneza Mila za kiarabu na dini

Ununuaji wa wachezaji maarufu kwa garama kubwa unatumika kama organ ya kueneza dini na Mila za kiarabu. Fuatilia kwa makini kwenye mitandao wanavyomtumia Ronaldo na kumtweza mesi kwa kukataa ofa zao
Kwa hiyo waarabu hawana haki ya kufanya na kuwekeza kwaajili ya manufaa ya mataifa yao?
 
Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships.
Chuki imekuwa kubwa kuliko hoja uliyotaka kujenga, mpira wa miguu hauko Ulaya pekee.

Bado ni mchezo unaopendwa duniani kote, Arabuni, Brasil hadi Tanzania.
 
Acha ujinga. MO ni mtanzania kwa vibali haimaanishi yeye ni Mwafrika kama mimi, yeye ni muhindi. Wale wamarekani weusi ni wamarekani lakini haimaanishi wao ni wazungu weupe. Wamarekani weusi ni waafrika tu hata wakatae kuitwa hivyo.

Nimetumia simple explanation ways bila shaka tumeelewana hapo.
Uelewa wako ni mdogo sana kwenye hili suala la citizenship.

Mo ni Mtanzania by birth kazaliwa Singida kakulia Dar.

Mo hakuhitaji hata vibali kuishi hapa Tanzania kama wewe ambavyo hukuhitaji vibali kuishi Tanzania

Ni jamii ya Wahindi waliotoka Gujarat kuja Afrika Mashariki miaka ya 1800s
 
kwa hiyo hiyo ligi yao itafika wakati itakuwa ligi bora duniani kupita ligi za uefa? Sawa tusubiri wakati
Ligi za Ulaya ni bora kulinganisha na zipi? Dunia haiko Ulaya tu. Kuna ligi za Marekani ya kusini, Afrika, na sasa Arabuni.

Tumebahatika kuona hizo ligi chache tu.
 
Wazungu hua hawana noma wanaweza wapa
Wazungu waliwakatalia Tena Rais wa Uefa kabsa aliitisha press na akasem Bila aibu Kwamba Ligi la ulaya ni kwa Timu za ulaya tu Sio kwa timu nyngne kutoka uarabuni,

Na kibaya zaid akaongezea kusema wanachokifanya waarabu sasaiv ni Kujaribu kulishusha ligi la ulaya kitu ambcho hakitowezekana,

Maan hata Wachina walishndwa kukifanya na wao waarabu pia watashindwa tu.

Ukitaka kupata full interview ya alichokiongea Huyo Rais wa Uefa we nenda Youtube kaisearch utaipata full speech maan haina hata Miez Mitatu tangu aseme hivyo. Kiufupi Waarabu wanachukiwa mno Na Sjui kwanini
 
Too much wewe angalia mada zao humu eti mtu annanzisha mada anachukia mtu kuvaa hijabu, mwingine anamchukia muarabu kisa anawekeza kwenye mpira , mtu pesa yake wewe unakaa huku unaleta makasiriko kisa tu muarabu, ukitaka kujua wakristo wa tanzania pitia comments zao kwenye mambo ya vita vya israel na hamas , halafu nenda pitia comments za wazungu kwenye channel kama sky news utaona utofauti , wakati wazungu wanaomba vita iishe na kuwe na amani , mkristo wa tanzania anakwambia wasafishwe wote magaidi tu israel haijawahi kupigwa taifa teule aisee
Sasa mtu akimchukia mwarabu ndio anakua mkristo? Mpagani, Buddha, Hindu, Rastafari hawawezi mchukia mwarabu?
 
Nakumbuka miaka ya 2000 kurudi nyuma nchi za Waarabu zilikuwa zimeuweka mpira kama haramu. Nafikiri ujinga umewaisha kichwani sasa wamevamia mpira wanamwaga pesa za mafuta.

Wananunua vilabu vya Ulaya na kuweka blood money huko. Alianza PSG kwa kuvuruga hisia za wachezaji na mashabiki kumwaga mapesa bila mpangilio. Mafanikio yao ni kama white elephant projects.

Wanashinda lakini mashabiki kama hawana furaha, angalia Manchester City wameshinda kila kitu ila ni kama hawajashinda chochote (wachezaji hawapati pure passion kutoka kwa mashabiki) ni kama wamenunua makombe.

Angalia kina Ronaldo wametimkia Uarabuni lakini wanalipa, mapesa mengi kwenye media za magharibi waendelee kutangazwa ili wasisahaulike.

PSG walimsajili messi lakini ni kama hawakuwa na Messi kwasababu ni timu fake yenye mapesa.

Waarabu wameingiza pesa wananunua kila kitu, nahisi hata waamuzi wameanza kuingia kwenye mifuko ya Waarabu.

Kiufupi Waarabu wao ni watu waharibifu, ukiangalia ligi inayochezwa kule katikati ya jangwa Saudi Arabia ni vichekesho vitupu (mashabiki wanaingia bure wanaambiwa washangilie muda wote) sasa huu ni mpira?

Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships.

Ukienda kuangalia mechi ya Championship ya Stoke City utaona mashabiki walivyo na passion kuliko ukienda kutazama mpira Etihad under oil money.

I hope hili wimbi la oil money kwenye mpira litapita lituachie mpira wetu halisi.
Mkuu ni kama hoja yako ina make sense hivi!!? Kiufupi nimekuelewa!
 
Ivi Waarabu waliikosea nini Dunia aisee Maan Chuki ya Watu Dhidi yao ni Kubwa mno.
Chuki yao inajengwa na wivu wao wa kijinga,

Europe wanaua mpira wa South America na mabara mengine kwa fedha kwa makusudi kabisa tena kwa miaka mingi sana ila hatukuona hizo ngonjera zao za kulia lia,Europe ana nunua wachezaji wa South America kisha anawapiga bench Europe ili kuua tu ligi za huko zisiwe bora kuliko ligi za Europe.
 
Ivi Waarabu waliikosea nini Dunia aisee Maan Chuki ya Watu Dhidi yao ni Kubwa mno.
Hio chuki nihisia zako tu ila watu wanaongoza kuchukiwa duniani niwatu wenye rangi nyeusi yan hawa wananyanyapaliwa kila kona yadunia... Nikama wew mtu kukwambia mbona unamapenz makubwa sana nawarabu kulikoni
 
Mpira Ni pesa ...

Watu wametoka africa familia masikini za kutupwa wanaenda ulaya kuvuja Damu na jasho kupata pesa ....

Hizo passion , culture na friendship vinaweza kununua Unga super market ? ,au vinaweza kumsaidia kujenga nyumba nzuri na kusaidia ndugu WA mchezaji ?....

Zaman wachezaji walikuwa wanacheza kunufaisha wamiliki WA team huku wao wakifa masikini,mpaka sasa wengine wanajuta ... ...

Sasa mchezaji hata akishinda CL ,PL kama pesa Hana kuna faida gani ? Mbaya Zaidi atatambulika na jamii kuwa kacheza man U , Liverpool na mpaka Leo anaishi nyumba ya kupanga ,au kashindwa kulipa Kodi ,au Ni masikini WA kutupwa,,,,,huoni wale legend WA man U saizii rashford ndio anawalipia rent waliendekeza ujinga WA passion ,sasa passion imewalipa nin[emoji23]

Saizii wachezaji wamesanuka ,no money no football ,uwanjan watu wanafia kule ,nguvu kubwa inatumika kwenye football ,na ukifika tu 34 years your useless Hakuna MTU wala team itakayokutaka Tena harafu unataka tucheze kijinga Bila pesa et passion ? Yaani wanitumie wao ikifika miaka 30 kiwango kimeshuka wananikataa narudi kulima kijijini maana hio passion na fans base havina uwezo wa kunilisha Zaidi ya kunicheka kuwa nimekuwa mchezaji mkubwa lakin nimekufa masikini,mbaya Zaidi watanitukana kuwa Sina akili [emoji23]

Waaarabu wamekuja kuleta thamani ya mpira ndio maana kina Kante ,mahrez ,Mendy ,Ronaldo wako kule kuvuna pesa ,wanajua kabisa CL Ni ujinga Bila kuwa na pesa mfukoni ,,,,sawa umeisaidia team kuchukua CL umepata like na followers mtandaon then what next kama pesa Sina [emoji23],Si ujinga mtupu ...
Hakika umenena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio chuki nihisia zako tu ila watu wanaongoza kuchukiwa duniani niwatu wenye rangi nyeusi yan hawa wananyanyapaliwa kila kona yadunia... Nikama wew mtu kukwambia mbona unamapenz makubwa sana nawarabu kulikoni
Ni kweli rangi nyeusi ndo tunaongoza kuchukiwa ila hii mada inaongelea waarabu Na mim nimecomment kulingana na Mada husika.

Usiwe unakurupuka kijana Sawa
 
Chuki yao inajengwa na wivu wao wa kijinga,

Europe wanaua mpira wa South America na mabara mengine kwa fedha kwa makusudi kabisa tena kwa miaka mingi sana ila hatukuona hizo ngonjera zao za kulia lia,Europe ana nunua wachezaji wa South America kisha anawapiga bench Europe ili kuua tu ligi za huko zisiwe bora kuliko ligi za Europe.
Umeongea ukweli mtupu Mkuu
 
Walio haribu ladha ya mpira ni wazungu walio zidisha visheria vya hovyo kwenye mpira, pia kujaribu kutumia mpira kupitisha ajenda zao chafu kama kutangaza ushoga.

Tena teknolojia kwenye mpira ndo imekuja kuharibu kila kitu. Waarabu usiwasingizie japo kuwa unawachukia.

Mpira unaenda kuua upuuzi wa dini ya kigaidi hapo middle east,wazungu sio wajinga.
 
Back
Top Bottom