johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jaribu kuwafuatilia Makatibu Wakuu wa CCM walioteuliwa baada ya Horace Kolimba kukutwa na yaliyomkuta utawaona ni kama wamevurugwa kwa namna fulani.
Yaani shukrani ya chama kwao huwaga kama ni " mateke"
Niwakumbuka akina mzee Gama R.I.P baadae Nchimbi akamvuruga, kuna huyu mzee wetu Mangula alirudi Ilembula kuuza nyanya, kuna yule Makamba sr haijulikani yuko Madale kwa Diamond au Bumbuli, yupo pia Dkt. Wilson Mkama nadhani ni mjasiamali kwa sasa, tunaye mzee wetu maarufu Komredi Kinana ambaye nusura atimuliwe chamani baada ya kurekodiwa na mwisho yupo Komredi Bashiru ambaye yuko bungeni kwa sasa.
Kiufupi safari ya Katibu Mkuu wa CCM huwa ngumu na iliyojaa mashaka kama ya Katibu mkuu wa Yanga.
Mungu Ibariki CCM
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Yaani shukrani ya chama kwao huwaga kama ni " mateke"
Niwakumbuka akina mzee Gama R.I.P baadae Nchimbi akamvuruga, kuna huyu mzee wetu Mangula alirudi Ilembula kuuza nyanya, kuna yule Makamba sr haijulikani yuko Madale kwa Diamond au Bumbuli, yupo pia Dkt. Wilson Mkama nadhani ni mjasiamali kwa sasa, tunaye mzee wetu maarufu Komredi Kinana ambaye nusura atimuliwe chamani baada ya kurekodiwa na mwisho yupo Komredi Bashiru ambaye yuko bungeni kwa sasa.
Kiufupi safari ya Katibu Mkuu wa CCM huwa ngumu na iliyojaa mashaka kama ya Katibu mkuu wa Yanga.
Mungu Ibariki CCM
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!