Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mangula alitia huruma sana enzi za JK, alikua na hali mbaya mno mtandaoni walichomfanya
Kwa hiyo Bashiru na mzee Mdee wote wapo kwenye kapu moja?
Yaani wote ni wabunge wa viti vya dezo vya hisani ya mtawala na watakuwa wanagonga meza tu!
Hahahaaa u don't say. Kwahyo BM anataka kurudi kundini aisee interestingBora angebaki zake udsm hadi miaka 65
Sasa hv analazimika baada ya 2025 atembee na bahasha
Halaf, Benard Membe kashauriwa aandike barua ya kuomba radhi kama Sofia Simba arejeshwe kundini
Ni mzee sana sasa sijui hata anachotaka ni nini. Walimpa mpaka sumu ila bado anamg'ang'ania tu mpaka afie hapo auMzee nae Mroho tu
1997 alikuwa Katibu Mkuu, hadi leo yupo tu
Asaidiwe kupumzika kama Wasira
Ni mzee sana sasa sijui hata anachotaka ni nini. Walimpa mpaka sumu ila bado anamg'ang'ania tu mpaka afie hapo au
Juzi eti alibipu kugoma kuja CC
Na bahati nzuri kinalindwa na mamlaka . Kingekuwa nje ya mamlaka kingeshasambaratika kusikojulikana.Jaribu kuwafuatilia Makatibu Wakuu wa CCM walioteuliwa baada ya Horace Kolimba kukutwa na yaliyomkuta utawaona ni kama wamevurugwa kwa namna fulani.
Yaani shukrani ya chama kwao huwaga kama ni " mateke"
Niwakumbuka akina mzee Gama R.I.P baadae Nchimbi akamvuruga, kuna huyu mzee wetu Mangula alirudi Ilembula kuuza nyanya, kuna yule Makamba sr haijulikani yuko Madale kwa Diamond au Bumbuli, yupo pia Dkt. Wilson Mkama nadhani ni mjasiamali kwa sasa, tunaye mzee wetu maarufu Komredi Kinana ambaye nusura atimuliwe chamani baada ya kurekodiwa na mwisho yupo Komredi Bashiru ambaye yuko bungeni kwa sasa.
Kiufupi safari ya Katibu Mkuu wa CCM huwa ngumu na iliyojaa mashaka kama ya Katibu mkuu wa Yanga.
Mungu Ibariki CCM
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Anajifanya mzalendo pyua. Ndiomaana alivyocheuliwa na mfumo akarudi Kinenulo kuuza nyanyaHalaf ndo Katibu Mkuu mstaaf choka mbaya kuliko wote
Hana hata ki ICD (bandari ya Nchi kavu) uchwara
Anajifanya mzalendo pyua. Ndiomaana alivyocheuliwa na mfumo akarudi Kinenulo kuuza nyanya
Kaitumikia CCM muda wote huo na imekula Mke wake na mtoto juu ila hana cha maana
Atalipwa mbinguni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahahahaaaa [emoji16][emoji23][emoji1787]. Ya siku 34 na mshahara wa mwezi moja [emoji102]Huyu ndio walau kafaidika maana atakula pensheni ya Katibu mkuu Kiongozi hadi atakapokufa!
Ni kama konstabo wa polisi tu
Mpaka wataishaKwa sababu ni ma masta wa michezo michafu ya kisiasa lazima laana ziwaandame
Kuwa CCM lazima uwe na laana kidogoHicho cheo kina laana kutoka na mambo wanayowafanyia watanzania wenzao ambao wao wanawaita wapinzani.
Ile inaitwa U turnLakini aliyepata kizaazaa kikubwa kuliko wote ni aliyekuwa katibu wa kipindi cha mwendazake...
Anguko alilolipata ni kama tembo kujirusha na kudondoka toka kwenye ghorofa ya 30.
Hivi sasa yuko kapu moja na Halima Mdee.
Ndiyo sababu ya kuwekewa sumu kwenye maji ya kunywa?Mzee nae Mroho tu
1997 alikuwa Katibu Mkuu, hadi leo yupo tu
Asaidiwe kupumzika kama Wasira
Atakuwa anavuta pensheni kila mwezi ambayo ni zaidi ya mshahara wa J J Mnyika hapo Ufipa!Ahahahaaaa [emoji16][emoji23][emoji1787]. Ya siku 34 na mshahara wa mwezi moja [emoji102]
Odhis *
Du!Ndiyo sababu ya kuwekewa sumu kwenye maji ya kunywa?
Vipi kuhusu makatibu wenezi?Jaribu kuwafuatilia Makatibu Wakuu wa CCM walioteuliwa baada ya Horace Kolimba kukutwa na yaliyomkuta utawaona ni kama wamevurugwa kwa namna fulani.
Yaani shukrani ya chama kwao huwaga kama ni " mateke"
Niwakumbuka akina mzee Gama R.I.P baadae Nchimbi akamvuruga, kuna huyu mzee wetu Mangula alirudi Ilembula kuuza nyanya, kuna yule Makamba sr haijulikani yuko Madale kwa Diamond au Bumbuli, yupo pia Dkt. Wilson Mkama nadhani ni mjasiamali kwa sasa, tunaye mzee wetu maarufu Komredi Kinana ambaye nusura atimuliwe chamani baada ya kurekodiwa na mwisho yupo Komredi Bashiru ambaye yuko bungeni kwa sasa.
Kiufupi safari ya Katibu Mkuu wa CCM huwa ngumu na iliyojaa mashaka kama ya Katibu mkuu wa Yanga.
Mungu Ibariki CCM
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!