naitwa sajent byemero kwa niaba ya jeshi la polisi niuliza zile helkopta zetu vipi?
Nafikiria kwanza kuanzisha chuo cha marubani vinginevyo mtapata ajali nyingi sana angani. Baiskeli hamjui kuendesha helikopta mtaendeshaje kila mtu aendeshe yake huko angani itakuaje
"Mheshimiwa ulisema mabomba yataoa maji na maziwa, VP mbona hatuoni diraa?
"Mheshimiwa ulisema mabomba yataoa maji na maziwa, VP mbona hatuoni diraa?
awatetee wakina roma na kala wamemsaidia sana masanii mengi manafiki sana leo utaona yanampongeza kwa ushindi wakati wakati wa kampeni yamemtosa