Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,648
- 18,742
naitwa sajent byemero kwa niaba ya jeshi la polisi niuliza zile helkopta zetu vipi?
Nafikiria kwanza kuanzisha chuo cha marubani vinginevyo mtapata ajali nyingi sana angani. Baiskeli hamjui kuendesha helikopta mtaendeshaje kila mtu aendeshe yake huko angani itakuaje