Tokea mtaani hadi bungeni - Profesa Jay

Tokea mtaani hadi bungeni - Profesa Jay

ukiachana na hao.Unaweza kunisaidia msanii yeyote(Aliyeipigia debe CCM) amempongeza Prof.J...
ikiwezekana hata link ama Page zao za Twitter na FB.......


wanaona aibu... wataanzia wapi kumpongeza kinafiki
 
Ambao hawakum-support walikuwa na haki ya kufanya hivyo. Jay hakuwa akiomba ridhaa ya wasanii, bali ya wananchi wa Mikumi.

Bado nadhani atapigania haki za wasanii kadiri atavyoweza, cuz yeye pia bado ni msanii. Na ana ndugu na marafiki wasanii.

Ila truth be told, the whole Bongo flava game and all artists owe it to Jay, one way or the other. He revolutionized the game.
 
Nasema kwa mara ya mwisho ,tukomae kisiasa hao wasanii wana haki ya kumsupport au kutomsupport msanii mwenzao !no harm done pale professor alisimama kama joseph haule akisaka uwakilishi wa wananchi wa mikumi sio akina aunt Ezekiel na wengineo!

Utawasikia Wanalalamika prof jay hawatetei wasanii bungeni,ilo ndio tatizo
 
Utawasikia Wanalalamika prof jay hawatetei wasanii bungeni,ilo ndio tatizo
Kwahiyo hata wananchi ambao ni CCM hawatakuwa na haki ya kulalamika endapo wataona Prof Jay hawatekelezei mambo yao? Hivi nyie jamaa vp mbona hamuishi viroja? Kwani hata huyo Sugu hakuwahi kuwaambia kwamba yeye sio mbunge wa wasanii bali ni wa Mbeya; sasa mnalialia nini wakati tayari wameshafunguka macho kwamba hata huyo Jay sio mbunge wa wasanii bali ni wa mikumi?
 
Siyo mbunge wa wasanii, amechaguliwa na wana Mikumi. Hawa waliokuwa busy majukwaani wakitumika tu wabaki wakitumiwa tu. Siasa ni mahesabu!!!! Muulize baba tunda ameishia wapi!!!
 
Jana Mkude Simba ndyo anajifanya kumpongeza wakati alikwenda kupiga show mikumi na kumponda J ili asipite.
 
Kikao cha dharura prof j

Nawashukuru sana wananchi kwa kweza kunipa kura Nashangaa nimeitwa ghafla kwenye kikao cha dharula Kikao kinaashiria kina maswali juu yangu Hii inatokana na ndiyo mzee na ahadi zangu.. Naona watu ni wengi wananchi walio na maana Najaribu kutafakari ni nini kinawachanganya!! Nipo tayari kujibu maswali yenu zamu kwa zamu Watakao uliza maswali na ningependa niwafahamu!

Vipi kuhusu mabomba ya kutoa maji na maziwa nchi nzima.
 
habari wadau..

wasanii walilalamika sana sugu kutowapigania bungeni..

lakini kwenye kampeni mwaka huu wote walikimbilia kampeni za ccm na kuwaacha wenzao kina prof jay na kingwendu wakigombea ubunge makwao..

hakuna msanii alieonekana akitoa sapoti kwa kingwendu na prof jay.

bahati mbaya kingwendu kura hazijatosha but proff jay ameshinda ubunge.

sasa tusubiri kelele za kutosaidiwa na jay kutoka kwa kina ally kiba, chege, ray, mwana fa, temba, fid q na wengineo wote

Hamna siku nitamdharau prof J nitakaposkia anazungumzia wasanii wa TZ
 
Viva Professor Jay
Viva UKAWA
Viva ✌✌✌✌✌

attachment.php
 
Nijambo zuri na la kiungwana kwa wana wa jamii ya bongo fleva wajiunge kwa pamoja na kumpongeza mwenzao profesa j kwa kufanikiwa kuwa mbunge wa bjmt.
 
bongo fleva wabana pua wengi hawajielewi....ni mashabiki wa wapumbavu sisiemu
 
Waipongeze chadema, unataka wasiende ikulu nini
 
BONGO FLEVA imenunuliwa na wale wengine bana, hawawezi na hawataweza kamwe kumpondeza
 
Nakiwaza shilole, wema nani yule mwingine uwoya na askari sele
 
Back
Top Bottom