DOKEZO Tokea tarehe 19 Novemba, mgonjwa wangu ndio kwanza kafanyiwa UTRASOUND Muhimbili. Changamoto ni nyingi sana

DOKEZO Tokea tarehe 19 Novemba, mgonjwa wangu ndio kwanza kafanyiwa UTRASOUND Muhimbili. Changamoto ni nyingi sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mohamed Abubakar

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2014
Posts
984
Reaction score
1,179
Nianze tu kwa kumuomba yyte mwenye uwezo wa kumfikishia Rais Samia hili na amfikishie.

Hali ya Muhimbili inasikitisha. Na mkono wake wahitajika.

Rais Samia chochote atachofanyia Muhimbili atapata baraka tele kutoka kwa MwenyeziMungu.

Nayasema haya kutokana na hali halisi. Mgonjwa kapewa rufaa kutoka mkoani kuja Muhimbili kwa Kesi ya Saratani.

Mgonjwa wa saratani. Fikiria kipimo cha kwanza akaandikiwa apime UTRASOUND. Akaandikiwa tar 19 na akifanye tar 27 nov 2024. (beurocracy). Kipimo cha dkk 15 kaambiwa asubiri hadi tar 27.

Wamethibitisha kuwa mgonjwa ana uvimbe tar 30.

Dr wake kamwandikia afanye uchunguzi zaidi. Hata hivyo kwanza mgonjwa anahitajika kuongezewa damu.

Pamoja na kutimiza masharti yote ya kupatikana kwa damu lkn ni Muhimbili hawana Damu ya kumpa mgonjwa huyu siku ya 10 leo.

Ombi langu kwa rais Samia. Zile pesa za watz anazogawa kwenye matumizi ya anasa, angetumia kuwahamasisha watanzania walau wachangie damu.

Walau hizo pesa zitumike kuwalisha pilau watz wengi watajitikeza kuchangia walau damu.

Kwa ufupi hali ya huduma Muhimbili imezorota au zimekufa kabisa.

Ukilitimba nao uko mwingi kuliko huduma.

Fikiria kipimo ambacho huchukua dakika 15, kwa Muhimbili kinachukua wiki mbili.

Rais umejipa dhima kwa Watanzania basi nakuomba sana onyesha utu kwa wagonjwa walio na rufaa za maisha yao pale muhimbili.

Mgonjwa ana ndugu ambao ni donars. Lakini mgonjwa wao hajapata damu. Nimejaribu kutaka kuwahonga ili tupate damu bado wanasema hawana damu.

Serikali yetu basi shindweni tore lkn musishindwe katika upande wa afya tena katika ngazi ya hospitali kuu ya rufaa Muhimbili.

Hii ni sehemu ndogo sana ya taarifa ya kiuchunguzi pale Muhimbili. Kuna madude mengi na milolongo mingo ya logistics kuliko huduma za matibabu sijayasema.

Niishie hapa kwa sasa

Xxxxxxxx


Developing Story.

Hatimae mgonjwa wangu leo tar 10 dec kaonwa na daktari.

Dr kamweleza mgonjwa kuwa anahitaji kumfanyia uchunguzi kwa kumkata kinyama ili waweze kukipima na kuthibitisha kama uvimbe alionao ni saratani au laa.

Kaambiwa Gharama zinazohitajika ni zaidi ya 1,000,000/-, ambapo laki 8 pekee ni gharama ya upasuaji bado gharama ya vifaa tiba ambavyo kwa uzoefu wangu huwa ni sawa au zaidi ya gharama za daktari...

Kupewa taarifa hizo wakati nyongeza ya damu ya chupa 3 kafanikiwa kuwekewa chupa 1.

Pamoja ya kuwa mgonjwa ana bima ya nhif ya vifurushi hata hivyo kaambiwa haikidhi gharama hizo. Na kwamba hakuna kifurushi Chenye kukidhi gharama zaidi ya vifurushi kwa watumishi wa Umma.

Hii ina maana bima ya wote ya nhif ni mradi wa serikali kunipatia kipato bila ya kumsaidia mgonjwa.

Inakuwaje gharama za matibabu ktk hospitali ya ummah inayoendeshwa kwa kodi za Watz ifike zaidi ya laki 8.

Naomba Watz wenzangu hasa wasio CCM, tumsaidie mgonjwa huyu.

Kwa mwenye uwezo awasiliane moja kwa moja na mgonjwa kwa namba +255784048986, Asha Sinde.

Kwasasa mgonjwa analia tu, kwani serikali ya mama Samia ishampa taa ya kijani arudi kwao. Kwa kuwa hana uwezo wa kugharamia upasiaji

Bali akasubirie umauti.

Nimalizie kwa kuwapa hongera wataowaunga mkono wahalifu walio ndani ya serikali ya CCM.
Hongera Mfariji mkuu.

Mgonjwa huyu sisi tukiwa majirani kumetoa sana kupata viambatishi vya kwanini anastahili kupata tiba bure Muhimbili. Lkn hata hizo barua Muhimbili wamekataa kuzipokea.

Huu ni uhalifu kama uhalifu mwengine wowote. Lkn mbaya zaidi unafanya na tuliowapa dhamana ya kutuongoza.
 
Nianze tu kwa kumuomba yyte mwenye uwezo wa kumfikishia mh Samia hili na amfikishie.


Hali ya Muhimbili inasikitisha. Na mkono wake wahitajika.

Mh Samia namuomba sana abadili mkakati wake wa kuongeza kupendwa.

Chochote atachofanyia Muhimbili atapata baraka tele kutoka kwa MwenyeziMungu.

Nayasema haya kutokana na hali halisi. Mgonjwa kapewa rufaa kutoka mkoani kuja Muhimbili kwa Kesi ya Saratani.

Mgonjwa wa saratani. Fikiria kipimo cha kwanza akaandikiwa apime UTRASOUND. Akaandikiwa tar 19 na akifanye tar 27 nov 2024. (beurocracy). Kipimo cha dkk 15 kaambiwa asubiri hadi tar 27.

wamethibitisha kuwa mgonjwa ana uvimbe tar 30.

Dr wake kamwandikia afanye uchunguzi zaidi. Hata hivyo kwanza mgonjwa anahitajika kuongezewa damu.

Pamoja na kutimiza masharti yote ya kupatikana kwa damu lkn ni Muhimbili hawana Damu ya kumpa mgonjwa huyu siku ya 10 leo.

Ombi langu kwa rais Samia. Zile pesa za watz anazogawa kwenye matumizi ya anasa, angetumia kuwahamasisha watz walau wachangie damu.

Walau hizo pesa zitumike kuwalisha pilau watz wengi watajitikeza kuchangia walau damu.

Kwa ufupi hali ya huduma Muhimbili imezorota au zimekufa kabisa.

Ukilitimba nao uko mwingi kuliko huduma.

Fikiria kipimo ambacho huchukua dakika 15, kwa Muhimbili kinachukua wiki mbili.

Mh Rais umejipa dhima kwa watz. Basi nakuomba sana onyesha utu kwa wagonjwa walio na rufaa za maisha yao pale muhimbili.

Mgonjwa ana ndugu ambao ni donars. Lkn mgonjwa wao hajapata damu. Nimejaribu kutaka kuwahonga ili tupate damu bado wanasema hawana damu.

Serikali yetu basi shindweni tore lkn musishindwe ktk upande wa afya tena ktk ngazi ya hospitali kuu ya rufaa Muhimbili.

Hii ni sehemu ndogo sana ya taarifa ya kiuchunguzi pale Muhimbili. Kuna madude mengi na milolongo mingo ya logistics kuliko huduma za matibabu sijayasema.

Niishie hapa kwa sasa
Pole sana !na inawezekana umesema ukweli kwa manufaa ya wengi.
mimi naamini katika universal health Insurence ambayo itamfanya mteja akifika asidaiwe fedha.
Usikate tamaa kwani unayo hoja ya namna gani haswa Afya ya msingi endelevu itolewe.naamini wataalamu wa afya watafanyia kazi kero yako hii.
Bila shaka sekta ya afya inalo la kujifunza wakati ikijiendeleza kiteknolojia na kuboresha huduma isusahau watanzania bado wana vipato vya chini na hivyo tusije geuka kama wamarekani au waingereza ...huduma bado zinapaswa kuwa za gharama za kadiri.

Zaidi kama wananchi tusisahau dhana ya uchangiaji wa huduma ili ziwe bora na endelevu na sio kwa msaada wa mataifa ya nje
 
Mkuu mie juzi nimetoka hapo muhimbili kitengo cha moi nilizinguana na manesi yaani bima yangu nimeandikiwa sindano ya laki 3 wanataka nitoe keshi nilipiga yowe hadi wakatoa wenyewe sindano yangu
 
Nianze tu kwa kumuomba yyte mwenye uwezo wa kumfikishia mh Samia hili na amfikishie.


Hali ya Muhimbili inasikitisha. Na mkono wake wahitajika.

Mh Samia namuomba sana abadili mkakati wake wa kuongeza kupendwa.

Chochote atachofanyia Muhimbili atapata baraka tele kutoka kwa MwenyeziMungu.

Nayasema haya kutokana na hali halisi. Mgonjwa kapewa rufaa kutoka mkoani kuja Muhimbili kwa Kesi ya Saratani.

Mgonjwa wa saratani. Fikiria kipimo cha kwanza akaandikiwa apime UTRASOUND. Akaandikiwa tar 19 na akifanye tar 27 nov 2024. (beurocracy). Kipimo cha dkk 15 kaambiwa asubiri hadi tar 27.

wamethibitisha kuwa mgonjwa ana uvimbe tar 30.

Dr wake kamwandikia afanye uchunguzi zaidi. Hata hivyo kwanza mgonjwa anahitajika kuongezewa damu.

Pamoja na kutimiza masharti yote ya kupatikana kwa damu lkn ni Muhimbili hawana Damu ya kumpa mgonjwa huyu siku ya 10 leo.

Ombi langu kwa rais Samia. Zile pesa za watz anazogawa kwenye matumizi ya anasa, angetumia kuwahamasisha watz walau wachangie damu.

Walau hizo pesa zitumike kuwalisha pilau watz wengi watajitikeza kuchangia walau damu.

Kwa ufupi hali ya huduma Muhimbili imezorota au zimekufa kabisa.

Ukilitimba nao uko mwingi kuliko huduma.

Fikiria kipimo ambacho huchukua dakika 15, kwa Muhimbili kinachukua wiki mbili.

Mh Rais umejipa dhima kwa watz. Basi nakuomba sana onyesha utu kwa wagonjwa walio na rufaa za maisha yao pale muhimbili.

Mgonjwa ana ndugu ambao ni donars. Lkn mgonjwa wao hajapata damu. Nimejaribu kutaka kuwahonga ili tupate damu bado wanasema hawana damu.

Serikali yetu basi shindweni tore lkn musishindwe ktk upande wa afya tena ktk ngazi ya hospitali kuu ya rufaa Muhimbili.

Hii ni sehemu ndogo sana ya taarifa ya kiuchunguzi pale Muhimbili. Kuna madude mengi na milolongo mingo ya logistics kuliko huduma za matibabu sijayasema.

Niishie hapa kwa sasa
Pole sana !na inawezekana umesema ukweli kwa manufaa ya wengi.
mimi naamini katika universal health Insurence ambayo itamfanya mteja akifika asidaiwe fedha.
Usikate tamaa kwani unayo hoja ya namna gani haswa Afya ya msingi endelevu itolewe.naamini wataalamu wa afya watafanyia kazi kero yako hii
Wao wenyewe wakiumwa wanaenda sauzi na india. Sekta ya afya inatakiwa ifumuliwe yote tuanze upya na nchi iwe na vipaumbele vya muhimu kwanza.
Wabunge walivyopata ajali walitibiwa wapi??

Kwa nini unatengeneza uongo ??
 
Magufuli alikuwa dikteta sana na Tanzania hakuna mnyonge.Alisikika mpumbavu mmoja aliyeshiba pilau lililo chacha
 
Nianze tu kwa kumuomba yyte mwenye uwezo wa kumfikishia Rais Samia hili na amfikishie.

Hali ya Muhimbili inasikitisha. Na mkono wake wahitajika.

Rais Samia chochote atachofanyia Muhimbili atapata baraka tele kutoka kwa MwenyeziMungu.

Nayasema haya kutokana na hali halisi. Mgonjwa kapewa rufaa kutoka mkoani kuja Muhimbili kwa Kesi ya Saratani.

Mgonjwa wa saratani. Fikiria kipimo cha kwanza akaandikiwa apime UTRASOUND. Akaandikiwa tar 19 na akifanye tar 27 nov 2024. (beurocracy). Kipimo cha dkk 15 kaambiwa asubiri hadi tar 27.

Wamethibitisha kuwa mgonjwa ana uvimbe tar 30.

Dr wake kamwandikia afanye uchunguzi zaidi. Hata hivyo kwanza mgonjwa anahitajika kuongezewa damu.

Pamoja na kutimiza masharti yote ya kupatikana kwa damu lkn ni Muhimbili hawana Damu ya kumpa mgonjwa huyu siku ya 10 leo.

Ombi langu kwa rais Samia. Zile pesa za watz anazogawa kwenye matumizi ya anasa, angetumia kuwahamasisha watanzania walau wachangie damu.

Walau hizo pesa zitumike kuwalisha pilau watz wengi watajitikeza kuchangia walau damu.

Kwa ufupi hali ya huduma Muhimbili imezorota au zimekufa kabisa.

Ukilitimba nao uko mwingi kuliko huduma.

Fikiria kipimo ambacho huchukua dakika 15, kwa Muhimbili kinachukua wiki mbili.

Rais umejipa dhima kwa Watanzania basi nakuomba sana onyesha utu kwa wagonjwa walio na rufaa za maisha yao pale muhimbili.

Mgonjwa ana ndugu ambao ni donars. Lakini mgonjwa wao hajapata damu. Nimejaribu kutaka kuwahonga ili tupate damu bado wanasema hawana damu.

Serikali yetu basi shindweni tore lkn musishindwe katika upande wa afya tena katika ngazi ya hospitali kuu ya rufaa Muhimbili.

Hii ni sehemu ndogo sana ya taarifa ya kiuchunguzi pale Muhimbili. Kuna madude mengi na milolongo mingo ya logistics kuliko huduma za matibabu sijayasema.

Niishie hapa kwa sasa
Mkuu poleni kwa kuuguza. Lakini ukweli ni kwamba viongozi hawaombwi bali wanalazimishwa na wakishindwa wanatimuliwa. Fikiria una mfanyakazi wako uliyemwajiri na unamlipa mshahara halafu eti unampigia magoti afanye kazi. Hili liwe fundisho kwako na siku nyingine jitokeze kuitokomeza CCM iwe ni kwa maandamano au kulinda kura.
 
Sia
Nianze tu kwa kumuomba yyte mwenye uwezo wa kumfikishia Rais Samia hili na amfikishie.

Hali ya Muhimbili inasikitisha. Na mkono wake wahitajika.

Rais Samia chochote atachofanyia Muhimbili atapata baraka tele kutoka kwa MwenyeziMungu.

Nayasema haya kutokana na hali halisi. Mgonjwa kapewa rufaa kutoka mkoani kuja Muhimbili kwa Kesi ya Saratani.

Mgonjwa wa saratani. Fikiria kipimo cha kwanza akaandikiwa apime UTRASOUND. Akaandikiwa tar 19 na akifanye tar 27 nov 2024. (beurocracy). Kipimo cha dkk 15 kaambiwa asubiri hadi tar 27.

Wamethibitisha kuwa mgonjwa ana uvimbe tar 30.

Dr wake kamwandikia afanye uchunguzi zaidi. Hata hivyo kwanza mgonjwa anahitajika kuongezewa damu.

Pamoja na kutimiza masharti yote ya kupatikana kwa damu lkn ni Muhimbili hawana Damu ya kumpa mgonjwa huyu siku ya 10 leo.

Ombi langu kwa rais Samia. Zile pesa za watz anazogawa kwenye matumizi ya anasa, angetumia kuwahamasisha watanzania walau wachangie damu.

Walau hizo pesa zitumike kuwalisha pilau watz wengi watajitikeza kuchangia walau damu.

Kwa ufupi hali ya huduma Muhimbili imezorota au zimekufa kabisa.

Ukilitimba nao uko mwingi kuliko huduma.

Fikiria kipimo ambacho huchukua dakika 15, kwa Muhimbili kinachukua wiki mbili.

Rais umejipa dhima kwa Watanzania basi nakuomba sana onyesha utu kwa wagonjwa walio na rufaa za maisha yao pale muhimbili.

Mgonjwa ana ndugu ambao ni donars. Lakini mgonjwa wao hajapata damu. Nimejaribu kutaka kuwahonga ili tupate damu bado wanasema hawana damu.

Serikali yetu basi shindweni tore lkn musishindwe katika upande wa afya tena katika ngazi ya hospitali kuu ya rufaa Muhimbili.

Hii ni sehemu ndogo sana ya taarifa ya kiuchunguzi pale Muhimbili. Kuna madude mengi na milolongo mingo ya logistics kuliko huduma za matibabu sijayasema.

Niishie hapa kwa sasa
siasa mingi sana mkuu shida kuu bado ni sisi Wabongo tumelala, vitu kama hivi tunangoja Mbowe aandamabe yeye na Binti yake na Mke wake.

Hawa CCM hakuna Lugha nyingine inaweza waingia kichwani zaidi ya Lugha ya Kulianzisha.

Mandelea aliwahi sema Makabulu lugha wanayo ielewa ni moja tu Lisasi
 
Back
Top Bottom