tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Halafu alikua anawatafunia mama zao na madem zao kibabe[emoji16][emoji16]Nakumbuka jamaa alikua akipita mtaani kwenye movie ya Friday, majanki wote wanatoka baruti!! unasikia kibaskeli chake kinavyosogea vijana wanapiga kelelee, "Diiiiibooo" wote mbio ndani, R.I.P Dibo