Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hongera sana Kwa Sekretarieti na Uongozi Mzima wa CDM kufanikisha hilo, kweli nimeamini ukiwapa nafasi Vijana wabunifu, Mafanikio lazima yaje.
Pia hongera zako mtoa mada, kusema kweli unaiweza kazi ya Uenezi hasa kwenye Mitandao ya Kijamii.
Nafikiri Lucas Mwashambwa ana mengi ya kujifunza kwako 👊
Pia hongera zako mtoa mada, kusema kweli unaiweza kazi ya Uenezi hasa kwenye Mitandao ya Kijamii.
Nafikiri Lucas Mwashambwa ana mengi ya kujifunza kwako 👊