Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Ndio, ijumaa leoMa muda huu umelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, ijumaa leoMa muda huu umelewa
Wewe hujawahi kusikia kauli mbiu ya chama cha mzee Rungwe, au kile chama cha kuwajaza pesa waTanzania. Unaishi nchi gani wewe?S
Sijakuelewa Chama gani kipo kufanya hayo ? Kwahio kuuliza what next ni lazima iwe kufanya hayo hapo juu ?
Umesema unachojua sasa ili upate ufahamu na kuacha kuhisi kama unachofahamu ndicho huenda na wewe jibu la what is next linakufaa...
Leta ukweli wakoHuo ni uwongo wa kitoto. Kama kungekuwa na mwamko huo na fedha nyingi si mngesimamisha bakuli.
Nataka Mbowe,Lema na wenje watupe hesabu za join the chain!Sasa kodi yako si muulize Wassira
Utakuwa huna TV kwako na yawezekana muda huu ndio unaingia onlineMbona huku nachingwea hatujui ndio tunakusikia wewe
Hizo ndio Sera ambazo zipo kwenye Vyama vyao ? Mbona ni swali rahisi sana what is next lakini wewe umeanza kwenda down the rabbit hole ambayo mpaka sasa ni kupotezeana muda wala haujajibu swali la msingi ambalo hata wewe huenda hujui... Kwahio hawa sababu hawagawi Ubwabwa wala kutoa Tshirts ndio haipaswi kuuliza what is next ?Wewe hujawahi kusikia kauli mbiu ya chama cha mzee Rungwe, au kile chama cha kuwajaza pesa waTanzania. Unaishi nchi gani wewe?
Wewe hujui chama cha siasa ambacho kila wakati wa chaguzi kuu baadhi ya maskini wa nchi hii hupata fursa ya kugawiwa T-shirts kwa matumaini ya kutoa kura zao?
Sipendi kutumia lugha ngumu kwako kwa haya uliyo niandikia hapa.
Takwim za siku moja? ,subiri kila kitu kitawekwa wazi.Tulitarajia tuone ushahidi wa tarakimu, kumbe maneno tu.
Ila wakati ni mwalimu mzuri. Huu Uzi utatukumbusha jambo.
Wajinyonge tu hakuna namna🫠Kijani wanavyoona wivu sasa!
Ni ishara kuwa matone yananguvu kama yale matone yaliyotokana na risasiWakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.
View attachment 3252926
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)
Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.
Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.
View attachment 3252925
Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?
Mpaka MAFURIKO.Tone Tone
Mkuu 'Logikos' ukini-prode sana nitaelekea huko unakotaka nielekee.Hizo ndio Sera ambazo zipo kwenye Vyama vyao ? Mbona ni swali rahisi sana what is next lakini wewe umeanza kwenda down the rabbit hole ambayo mpaka sasa ni kupotezeana muda wala haujajibu swali la msingi ambalo hata wewe huenda hujui... Kwahio hawa sababu hawagawi Ubwabwa wala kutoa Tshirts ndio haipaswi kuuliza what is next ?
Mleta uzi mwenyewe kama next ni kuendelea kutafuta michango (atleast kajibu swali ingawa jibu leaves a lot to be desired)....
Tupeni Takwimu (numbers don't lie)Wakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.
View attachment 3252926
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)
Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.
Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.
View attachment 3252925
Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?
Mungu akubariki sanaMimi jataka kuwachangia sio chini ta laki...I swear
Barikiwa sana. Nitalipia Tone langu, la Mke wangu na kwa niaba ya Wanangu wote wawili kila mwezi. Hii baraka hainiachi kizembeMimi mwenyewe tone langu nimeshaliangusha Jana Ile Ile..
sitakagi ujinga Mimi..
Ndiyo shida ya kukumbatia CCM.Unaishi nchini kama upo ndani ya handaki vile.Mbona huku nachingwea hatujui ndio tunakusikia wewe
Tulia kwanza bado tuko kwenye kampeniTupeni Takwimu (numbers don't lie)