Tone Tone ya Chadema yatikisa Nchi, Spidi ya Michango inatisha

Tone Tone ya Chadema yatikisa Nchi, Spidi ya Michango inatisha

Wakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.

View attachment 3252926

Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)

Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.

Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.

View attachment 3252925

Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?
Matapeli wa kisiasa
 
Ni jambo jema, lakini taarifa yako inakosa quantifiable data zaidi ina vague promises tu.
 
Wakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.

View attachment 3252926

Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)

Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.

Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.

View attachment 3252925

Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?


Huu mpango ni muhimu sana. Uzuri wa Chadema ni kuwa creative. Maswala ya kutegemea serikali kuendesha chama wana achana nayo. Chama kinakuwa cha watu. Hii ni mbinu bora sana. Hata kama wakipata 200M kwa mwezi ni bora kuliko sasa
 
Wakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.

View attachment 3252926

Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)

Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.

Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.

View attachment 3252925

Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?
Zimefika sh ngapi?..kwa sisi kina Tomaso tuwekee na bank statement kabisa..
 
Kila la kheri/mnakunywa moto au baridiii sana, wazee wanapasha viungo wazee wa shavu, wazee wa masupu supu na kuku choma, watoto wa mujini tunasema kazi imeelekea kibra
 

Attachments

  • IMG_20250228_173857_947.jpg
    IMG_20250228_173857_947.jpg
    91.7 KB · Views: 1
Wana tunaangusha tone tusubir wagawa viberiti na chumvi na bukubuku kwa mazezeta akina Lucas na tlatla... wewe na akili timu unachapisha viberiti unawagawa kwa wananchi hii ni laana na dharau bora tuwachangie.
2015 Jimbo la Isman Mh Lukuvi pamoja na kununua Ulanzi wa mwezi mzima jimbo lote lakini pia aligawa Viberiti vyenye picha yake kaya zote, yaani ni kama hivi Samia anavyowagawia majiko ya gesi ya kiwango cha chini wamama masikini
 
Back
Top Bottom