mb on
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 1,640
- 703
Mungu ameiwacha Chadomo na wafuasi wake mda mwingi sana kabla padri slaa hajawageuka.Mungu ibariki CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ameiwacha Chadomo na wafuasi wake mda mwingi sana kabla padri slaa hajawageuka.Mungu ibariki CHADEMA
Matapeli wa kisiasaWakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.
View attachment 3252926
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)
Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.
Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.
View attachment 3252925
Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?
Wewe umekuna nazi tayari na kumuandalia basha wako anayekuingilia nyuma?Hizi ni kazi za kiume wewe kuna nazi umwandalie mumeo chakula
Wewe uliye na akili timamu weka mahesabu hapa. Muna Billion ngapi?Una akili timanu?
Mnachojuwa ni kushika pumbu za wazungu tu kama.Tundu anaposhika pumbu za AmsterdamMmeshikwa pa baya sauti na milio kila kona
Malaya mama yako alikuzaa bila kukuonyesha baba yako.Umeelewa kweli kilichopostiwa .Acha umalaya wa kisiasa tuliza akili
No reforms! No election!Kwahio issue za kukosa rasilimali fedha tumemaliza. Yaani issue ya fedha imekuwa ni historia ? Sasa tuendelee na next chapter...
What is Next ?!!!
Mimi wingu la mvua limetanda nasubiria imwagike paaap! Ikate!Mimi mwenyewe tone langu nimeshaliangusha Jana Ile Ile..
sitakagi ujinga Mimi..
Wakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.
View attachment 3252926
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)
Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.
Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.
View attachment 3252925
Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?
HayaNi jambo jema, lakini taarifa yako inakosa quantifiable data zaidi ina vague promises tu.
Zimefika sh ngapi?..kwa sisi kina Tomaso tuwekee na bank statement kabisa..Wakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.
View attachment 3252926
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)
Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.
Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.
View attachment 3252925
Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?
Ili iweje?Zimefika sh ngapi?..kwa sisi kina Tomaso tuwekee na bank statement kabisa..
Nakala imfikie Mwenyekiti wa Kamati inayosimamia jambo hili Godbless LemaErythrocyte, kuweni makini fuatilieni kwa umakini, kuna miamala inatumwa inarudishwa. Inawezekana kukawa na hujuma za hili jambo la kitaifa.
Wana tunaangusha tone tusubir wagawa viberiti na chumvi na bukubuku kwa mazezeta akina Lucas na tlatla... wewe na akili timu unachapisha viberiti unawagawa kwa wananchi hii ni laana na dharau bora tuwachangie.Mimi mwenyewe tone langu nimeshaliangusha Jana Ile Ile..
sitakagi ujinga Mimi..
Huyo tapeli lema mnamuamini kabisa kutunza pesa zenu?Nakala imfikie Mwenyekiti wa Kamati inayosimamia jambo hili Godbless Lema
2015 Jimbo la Isman Mh Lukuvi pamoja na kununua Ulanzi wa mwezi mzima jimbo lote lakini pia aligawa Viberiti vyenye picha yake kaya zote, yaani ni kama hivi Samia anavyowagawia majiko ya gesi ya kiwango cha chini wamama masikiniWana tunaangusha tone tusubir wagawa viberiti na chumvi na bukubuku kwa mazezeta akina Lucas na tlatla... wewe na akili timu unachapisha viberiti unawagawa kwa wananchi hii ni laana na dharau bora tuwachangie.