Tone Tone ya Chadema yatikisa Nchi, Spidi ya Michango inatisha

Tone Tone ya Chadema yatikisa Nchi, Spidi ya Michango inatisha

Nakazia ✍️

Tofauti yao ni kama mbingu na nchi,
Mmoja mstaarabu, mkweli, mwingine mtukanaji, muongo
Hakika Mkuu, ila sio vibaya akaenda kujifunza

Unajua kwenye Siasa lolote linaweza kutokea.

Nani alitegemea Lowassa na Sumaye wangeenda CDM

Ama nani alitegemea Silinde angetoka CDM na kwenda kuwa Naibu Waziri 🙌
 
Mie kwenye nimo tayari nimechangia laki 2. Kabla ya kuzindua hii Nimo, nilichangia 1.2m. Kwenye kugharamia shughuli za chama, nje ya mfumo wa Nimo, nimechangia 3m.

Mungu akijalia, mpaka June, nataka niwe nimechangia 25m.
Munhu akubariki sana
 
Hakika Mkuu, ila sio vibaya akaenda kujifunza

Unajua kwenye Siasa lolote linaweza kutokea.

Nani alitegemea Lowassa na Sumaye wangeenda CDM

Ama nani alitegemea Silinde angetoka CDM na kwenda kuwa Naibu Waziri 🙌
Eti Mwita waitara anakuwa Waziri harafu Lizabon anakuwa DAS?

Mambo ni mengi muda mchache
 
Eti Mwita waitara anakuwa Waziri harafu Lizabon anakuwa DAS?

Mambo ni mengi muda mchache
Hahaha............Wanasiasa Vijana wajifunze kuhusu hili aisee

Kwamba lolote kwenye Siasa linawezekana
 
Hongera sana Kwa Sekretarieti na Uongozi Mzima wa CDM kufanikisha hilo, kweli nimeamini ukiwapa nafasi Vijana wabunifu, Mafanikio lazima yaje.

Pia hongera zako mtoa mada, kusema kweli unaiweza kazi ya Uenezi hasa kwenye Mitandao ya Kijamii.

Nafikiri Lucas Mwashambwa ana mengi ya kujifunza kwako 👊
Weka namba wengine hatuijui tuchangie
 
Vibaka baadhi wa CCM walisema hakuna atakayechanga mwisho wa siku mtandao umefikia limit ya kupokea pesa hadi zihamishwe ili nyingine ziendelee kuingia.

Siku zote watu watachangia mabadiliko kwa namna yoyote ile naamini hata wapo wanaccm wapenda mabadiliko wamechangia kwa utambulisho fiche.
 
Hongera sana Kwa Sekretarieti na Uongozi Mzima wa CDM kufanikisha hilo, kweli nimeamini ukiwapa nafasi Vijana wabunifu, Mafanikio lazima yaje.

Pia hongera zako mtoa mada, kusema kweli unaiweza kazi ya Uenezi hasa kwenye Mitandao ya Kijamii.

Nafikiri Lucas Mwashambwa ana mengi ya kujifunza kwako 👊
Lucas ni mchumba tu kwa Erythrocyte ameiga na kufata mkumbo lkn ameshindwa kukopi amejikuta anapuyanga tu kububujikwa machozi kila siku.
 
They've collected how much so far?. And why was the Honorable Mbowe unavailable yesterday when he's supposed to be present since the issue was involved raising funds for the party. Damn! The guy has huge numbers of followers whom could've made impact yesterday, I wonder why he did not show up.
Alale mbele kama hajiskii hakuna wa kumbembeleza chama kinasonga na michango inachangwa hadi nje ya nchi huko ulaya na marekani wanaxhangia, lisu jeshi kubwa
 
Wakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.

View attachment 3252926

Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)

Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.

Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.

View attachment 3252925

Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?
Changieni watu walishe na wasomeshe familia zao, ng'ombe nyie.
 
Tone Tone inatisha mpaka serikali ya CCM inatetemeka na kuingiwa uoga
 
Back
Top Bottom