Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Mh, ngoja nicheke mie BWAHABWAHABWAHABWAHABWAHAAAAAAAAAAA!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Mkuu, ila sio vibaya akaenda kujifunzaNakazia ✍️
Tofauti yao ni kama mbingu na nchi,
Mmoja mstaarabu, mkweli, mwingine mtukanaji, muongo
Munhu akubariki sanaMie kwenye nimo tayari nimechangia laki 2. Kabla ya kuzindua hii Nimo, nilichangia 1.2m. Kwenye kugharamia shughuli za chama, nje ya mfumo wa Nimo, nimechangia 3m.
Mungu akijalia, mpaka June, nataka niwe nimechangia 25m.
Eti Mwita waitara anakuwa Waziri harafu Lizabon anakuwa DAS?Hakika Mkuu, ila sio vibaya akaenda kujifunza
Unajua kwenye Siasa lolote linaweza kutokea.
Nani alitegemea Lowassa na Sumaye wangeenda CDM
Ama nani alitegemea Silinde angetoka CDM na kwenda kuwa Naibu Waziri 🙌
Hahaha............Wanasiasa Vijana wajifunze kuhusu hili aiseeEti Mwita waitara anakuwa Waziri harafu Lizabon anakuwa DAS?
Mambo ni mengi muda mchache
Hadi Vodacom imejaa inataka kupasukaZimeshachangwa kiasi gani?
Hicho ndiyo kiasi kilichochangwa?Hadi Vodacom imejaa inataka kupasuka
Anateseka akiwa na kapelo lake la kijani na njano!! Kama namuona vile vile 😁😁!Unateseka ukiwa wapi?
Weka namba wengine hatuijui tuchangieHongera sana Kwa Sekretarieti na Uongozi Mzima wa CDM kufanikisha hilo, kweli nimeamini ukiwapa nafasi Vijana wabunifu, Mafanikio lazima yaje.
Pia hongera zako mtoa mada, kusema kweli unaiweza kazi ya Uenezi hasa kwenye Mitandao ya Kijamii.
Nafikiri Lucas Mwashambwa ana mengi ya kujifunza kwako 👊
chukueni laini ambayo haina kiwango cha mwisho cha kuweka feza. Tugonge hadi matrilioni. Kama haiwezekani wekeni acc no. za mabenki zihusike. Tanganyika ipate ukombozi!Hadi Vodacom imejaa inataka kupasuka
Lucas ni mchumba tu kwa Erythrocyte ameiga na kufata mkumbo lkn ameshindwa kukopi amejikuta anapuyanga tu kububujikwa machozi kila siku.Hongera sana Kwa Sekretarieti na Uongozi Mzima wa CDM kufanikisha hilo, kweli nimeamini ukiwapa nafasi Vijana wabunifu, Mafanikio lazima yaje.
Pia hongera zako mtoa mada, kusema kweli unaiweza kazi ya Uenezi hasa kwenye Mitandao ya Kijamii.
Nafikiri Lucas Mwashambwa ana mengi ya kujifunza kwako 👊
Alale mbele kama hajiskii hakuna wa kumbembeleza chama kinasonga na michango inachangwa hadi nje ya nchi huko ulaya na marekani wanaxhangia, lisu jeshi kubwaThey've collected how much so far?. And why was the Honorable Mbowe unavailable yesterday when he's supposed to be present since the issue was involved raising funds for the party. Damn! The guy has huge numbers of followers whom could've made impact yesterday, I wonder why he did not show up.
Namba zao unazo wapigie, huu ni muda wa tone toneNataka Mbowe,Lema na wenje watupe hesabu za join the chain!
Changieni watu walishe na wasomeshe familia zao, ng'ombe nyie.Wakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.
View attachment 3252926
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)
Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.
Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.
View attachment 3252925
Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?
Kama wewe unavyonufaisha kina abdulChangieni watu walishe na wasomeshe familia zao, ng'ombe nyie.
Umeulizwa!Namba zao unazo wapigie, huu ni muda wa tone tone