Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila wakati mnapoleta habari kama hizi tafadhali muwe mnaweka na jinsi ya kuchangia. Ili Kila mtu ajue namna ya kuchangia.Wakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.
View attachment 3252926
Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)
Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.
Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.
View attachment 3252925
Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?
Kama kimekufa una comment nn sasa? Mbona tusijadili kuhus TLP!?Chadema kwa kujifariji! Chama kimekufa kubali ukweli
HayaPropaganda zitafifisha michango,
Wacha michango iendelee,
Muhimu kuhamasisha michango, sio kutuonyesha umepokea nyingi ilhali Si Kweli.
Sijaelewa hapa. Kwani chadema Ina mbunge mwingine zaidi ya yule wa Nkasi? Au huyu ni aliyekuwa mbunge wa Mbarali?Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.
Uwazi bwashee...unajua uwazi utatuhamasisha na ss tuchange...hauwezi kusema mwitikio mkubwa bila figures!!Ili iweje?
Alidhulumiwa tu ubungeSijaelewa hapa. Kwani chadema Ina mbunge mwingine zaidi ya yule wa Nkasi? Au huyu ni aliyekuwa mbunge wa Mbarali?
Anyway! Yote kwa yote ccm imechokwa na huyu mzanzibari mwanamke hakubaliki kabisa.
Nakazia ✍️Pia hongera zako mtoa mada, kusema kweli unaiweza kazi ya Uenezi hasa kwenye Mitandao ya Kijamii.
Tofauti yao ni kama mbingu na nchi,Nafikiri @Lucas Mwashambwa ana mengi ya kujifunza kwako 👊
Mchango wako ni Muhimu, Toe Tone huleta mafuriko
Yani wewe ndio mjenga hoja wa chadema kwakukurupuka huku kweli hamna matumainiHizi ni kazi za kiume wewe kuna nazi umwandalie mumeo chakula
Nyie wazkukopa mnashika zaga zakina nani ombaomba?Mnachojuwa ni kushika pumbu za wazungu tu kama.Tundu anaposhika pumbu za Amsterdam
CCM ndio tumaini la watanzaniaView attachment 3254392
Hawajibu hata siku moja hilo.Zimeshachangwa kiasi gani?
Join the chain Mwenyekiti alikuwa Nani?Zikitakiwa hesabu pia uje na uzi unaotingisha nchi nzima...za join the chain kila mtu kasema hajui namba ni ya nani!
Makamu mwenyekiti lissu!Join the chain Mwenyekiti alikuwa Nani?
OppMakamu mwenyekiti lissu