Tone Tone ya Chadema yatikisa Nchi, Spidi ya Michango inatisha

Tone Tone ya Chadema yatikisa Nchi, Spidi ya Michango inatisha

Wakuu, Natanguliza salamu, baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja.

View attachment 3252926

Taarifa mpya inaonyesha kwamba huu mpango wa Chadema Kuchangia chama chao unaoitwa Tone Tone ni balaa! Ni kama Wananchi walikuwa wanasubiri tu Chadema iuanzishe ili waanze kumimina michango, unaambiwa namna hela zinavyomiminika, haijawahi kutokea, Huu mpango ni kama umefanikiwa kabla hata haujaanza (Tukumbuke kwamba haya yanatokea ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu mpango huo uanzishwe)

Tayari Mamluki wa Upande wa pili wanaotegemea hela za wauza unga washaanza kujitafakari wafanyeje ili kuzuia matone hayo, na hasa matone yanayotoka Nje ya Nchi.

Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.

View attachment 3252925

Swali letu ni hili, Mwitikio huu mkubwa Dunia nzima ni ishara ya nini?
Kila wakati mnapoleta habari kama hizi tafadhali muwe mnaweka na jinsi ya kuchangia. Ili Kila mtu ajue namna ya kuchangia.
 
Propaganda zitafifisha michango,

Wacha michango iendelee,

Muhimu kuhamasisha michango, sio kutuonyesha umepokea nyingi ilhali Si Kweli.
 
Huko Washington DC kampeni ya Tone Tone inaongozwa na Mbunge wa Mbarali Liberatus Mwang'ombe.
Sijaelewa hapa. Kwani chadema Ina mbunge mwingine zaidi ya yule wa Nkasi? Au huyu ni aliyekuwa mbunge wa Mbarali?

Anyway! Yote kwa yote ccm imechokwa na huyu mzanzibari mwanamke hakubaliki kabisa.
 
Sijaelewa hapa. Kwani chadema Ina mbunge mwingine zaidi ya yule wa Nkasi? Au huyu ni aliyekuwa mbunge wa Mbarali?

Anyway! Yote kwa yote ccm imechokwa na huyu mzanzibari mwanamke hakubaliki kabisa.
Alidhulumiwa tu ubunge
 
  • Thanks
Reactions: G4N
CCM ndio tumaini la watanzaniaView attachment 3254392

Hakuna chama tena sasa chama ni cha Polisi na usalama. Wengine ni mapambo tu yaani ni kama maua ya bandia.

Uzuri Mungu atapitisha fagio lingine sio kwa wote lakini kwa wale walio himiza kunyima haki na wezi na wonevu wa chaguzi kuna panga la Mungu linakuja na kujiepusha tenda haki bila kujali chama bila hivyo wengi tutawasahau na watakuwa wenda zake soon. Narudia sio wote
 
Back
Top Bottom