Tongue Rings, Hot or Not

Tongue Rings, Hot or Not

Kama Ni Ushamba Basi Wacha Niwe Nao, Ila Mwanamke Aliyejipachika Hivi Vipini Sijui Kitovuni, Kwenye Ulimi, Puani, Juu Ya Sikio, Juu Ya Jicho Ama Idodomya Kwangu Hana Nafasi Kabisa.


C'mon mkuu, it's not a bad idea to try some fun once in a while..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ahsante!!! lakini what do eyebrow piercings cost? na vipi jamii ambayo unaishi nayo wanachukuliaje swala hilo? Manake jamii nyingine wanaona huo ni uhuni ulioshtadi!!


Eyebrow piercing sifahamu kwa kweli coz sijafanya. Lakini nyingine naMshukuru Mola jamii iliyonizunguka hawa maind kwa kweli.
 
Aaaah! Wapi, Ni Bora Nibaki Na Usigimbi Wangu. Mtu Amejipiga Vipini Kama Karatasi Kwenye Ubao Wa Matangazo, What Kind Of Fun Is It?


Hahahaaaa, eti kama nini...lol! 😀

Hapana bwana, ukizoea utamuona wa kawaida tu.
 
Weeeeh! Kuchoma sindano ya dawa tu na uzee wangu huu ni mbinde!! Yaani sitoboi popote tena!
Hahah usinikumbushe mie bana. Last time nimechoma sindano nipo second yr. Yani kuona tu ile sindano kule juu ilivyo ndefu nyembamba, wacha nitoe jicho, nilisumbua khaaa. Dr alikuwa mchina mmama, akaniambia niache kujidekeza kama mtoto while ni mama mzima umri wa Kuwa na watoto na lafudhi yake sasa "iko kubwa wewe" teh. Hadi mama alikuja chumba cha sindano, niliona aibu. Mmh Kesho yake sikusumbua tena
 
Hahah usinikumbushe mie bana. Last time nimechoma sindano nipo second yr. Yani kuona tu ile sindano kule juu ilivyo ndefu nyembamba, wacha nitoe jicho, nilisumbua khaaa. Dr alikuwa mchina mmama, akaniambia niache kujidekeza kama mtoto while ni mama mzima umri wa Kuwa na watoto na lafudhi yake sasa "iko kubwa wewe" teh. Hadi mama alikuja chumba cha sindano, niliona aibu. Mmh Kesho yake sikusumbua tena
Mie mara ya mwisho nikiwa form1, imebaki tu ile ya kidoleni nayo shughuli yake pevu!
 
Weeeeh! Kuchoma sindano ya dawa tu na uzee wangu huu ni mbinde!! Yaani sitoboi popote tena!

Ni mambo ya aibu
teh


Kha!, ebu acheni utoto bana. Sa ukitaka kupangilia hereni na vipusa mnafanyaje?

Kwani kutoboa si kama vile una staple paper tu, maumivu kidogo halafu basi. Mkienda labor sasa si itakuwa patashika na nguo kuchanika?
Tena kujitoboa ndo mazoezi mazuri ya labor, before it gets here.
 
Kha!, ebu acheni utoto bana. Sa ukitaka kupangilia hereni na vipusa mnafanyaje?

Kwani kutoboa si kama vile una staple paper tu, maumivu kidogo halafu basi. Mkienda labor sasa si itakuwa patashika na nguo kuchanika?
Tena kujitoboa ndo mazoezi mazuri ya labor, before it gets here.
He he he labor Mungu atanitendea huko Huko

Teh last year my Lil cousin gave birth. Alikuwa poa and everything ila kukatokea complication kidogo mwishoni. It was my first time kukaa maeneo ya labor yale (siendi tena kule, ntawaogopa wakaka Teh)

Basi bana, ikafika muda hadi cousin mwenyewe akasema amechoka na kulia juu maskini (she was very strong), ikabidi tu c- section. Before, Wenzangu walikuwa hata wanamchungulia, mimi niligoma kabisa, kama kawaida nilimwaga machozi aisee khaa, wakashtuana tu "mama mfilipino kaanza", so wakatafuta excuse ya kunitoa, I left. Akajifungua, basi story ya kwanza kupewa ni jinsi nilivyolia. Ile nimefika tu kaniambiaje "kilichokuwa kinakuliza, si wewe na D (mdogo ake) mnajifanyaga hamnipendi kumbe mnanipenda" hahaha. Luckily, I'm her munchkin's God mother uuuh. Ile week nzima sikuwasalimia wakaka, nisijejikuta labor na mimi (kidding lol)
 
He he he labor Mungu atanitendea huko Huko

Teh last year my Lil cousin gave birth. Alikuwa poa and everything ila kukatokea complication kidogo mwishoni. It was my first time kukaa maeneo ya labor yale (siendi tena kule, ntawaogopa wakaka Teh)

Basi bana, ikafika muda hadi cousin mwenyewe akasema amechoka na kulia juu maskini (she was very strong), akaomba tu c- section. Before, Wenzangu walikuwa hata wanamchungulia, mimi niligoma kabisa, kama kawaida nilimwaga machozi aisee khaa, wakashtuana tu "mama mfilipino kaanza", so wakatafuta excuse ya kunitoa, I left. Akajifungua, basi story ya kwanza kupewa ni jinsi nilivyolia. Ile nimefika tu kaniambiaje "kilichokuwa kinakuliza, si wewe na D (mdogo ake) mnajifanyaga hamnipendi kumbe mnanipenda" hahaha. Luckily, I'm her munchkin God mother uuuh. Ile week nzima sikuwasalimia wakaka, nisijejikuta labor na mimi (kidding lol)


...hahaaa haaa!, mpaka ukatoa chozi manake na hutaki kusalimia wakaka..😀

My dear muda ukifika wala hutawaogopa, na safari ya kwenda labor ikifika mwenyewe utapakimbilia, hii ya kutoboa pua, sikio, sijui ulimi utaona kama kufinywa tu...lol
Halafu imagine hizi safari za labor kuna wengine unajua bado wanachagua kwenda kavukavu bila epidural, eti to just get the experience ya uchungu wenyewe original. 🙁
Mi naonaga bora kama hivi C-section kwa kweli, kuliko kwenda dry.

The little munchkin is lucky to have a godmother who shed tears for the mom, just before they arrived in this world. 🙂
 
Back
Top Bottom