The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Ntaongeza bidiiHata huu ni mchango ambao unataka kuutoa kwenye thread, nakupongeza kwa kujipa ujasiri kuandika ulichokusudia.
salute old boy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntaongeza bidiiHata huu ni mchango ambao unataka kuutoa kwenye thread, nakupongeza kwa kujipa ujasiri kuandika ulichokusudia.
salute old boy
U"play" na huu, Wait for You - Elliot Yamin . Kuna nyimbo zikisikika unaishia kutikisa kichwa kwa taratibu
Hii nyimbo inanikonga moyo toka mtoto sijuo hata anaimba nini hadi mzee sasa.
Huyo mwanamama nnamwelewa sana.
Kuna na ile he wasn't a man enough for me
Say love me ......UNBREAK MY HEART
Saa ngapi hicho kipindi?Kuna kipindi fulani tbc fm huwa nakimic sana jmosi huwa wanazitandika hiz
Safi mkuu.. bonge la library..
Safi sana . Good music.View attachment 2498623
Kwa sisi wakongwe kuanzia saa tatu usiku hizo ndo huwaga TUNASIKILIZA
gonga like kama unakubaliana na mimi
Si kweli ..Mmekumbuka zamani tu malegend saa hivi vijana wanakiwasha sio poa kama huyu platnumz tuendelee kujivunia sana waTanzania
Breath again ni kazi nyingine ya Toni ambayo itachukua karne nyingi kuchujaNawasalimu wanajukwaa wa Jf, kwa wale waliosonga kiumri nawapa shikamoo, kwa wengine ambao sijui rika zenu salamu zangu ziwafikie.
Leo wakati nimetulia nilipata bahati ya kusikiliza oldies, kwa bahati nilikutana na kibao cha Toni Braxton kinachofahamika kwa jina la "Spanish Guitar". Kiukweli vijana wa kisasa tunapata makombo ya muziki kutoka kwa wasanii wengi (almost 95% ya muziki wa sasa hauna hadhi ya kuitwa mziki).
Kwanza nilipenda uimbaji uliotulia, melody nzuri ya kutulia, kupanda na kushuka kwa sauti, mdundo (Piano, snares, Guitar, kick na vingine). Kiukweli njia pekee ya kufaidi vitu vya kale ni kupitia mziki uliotunzwa kwani utamu unabaki vilevile bila kuchujwa, inawezekana ukisimuliwa hadithi ya kale ikaongezewa makolombwenzo ambayo hayakuwepo ila muziki unabaki pale pale.
RnB, Soul, Country, Jazz, Rock na Pop za kale ziko vizuri. Wazee wetu mlipata ladha nzuri ya muziki.
Lyrics [emoji447][emoji450]
A smokey room, a small café
They come to hear you play
And drink and dance the night away
I sit out in the crowd and close my eyes
Dream you're mine
But you don't know
You don't even know that I am there
I wish that I was in your arms
Like that Spanish guitar
And you would play me through the night
'Til the dawn
I wish you'd hold me in your arms
Like that Spanish guitar
All night long
(All night long) all night long
I'd be your song
I'd be your song
Steal my heart with every note you play
I pray you'll look my way
And hold me to your heart someday, yeah
I long to be the one that
You caress with a tenderness
And you don't know
You don't even know that I exist
I wish that I was in your arms
Like that Spanish guitar
And you would play me through the night
('Til the dawn) 'til the dawn
I wish you'd hold me in your arms
Like that Spanish guitar
(All night long) all night long
(All night long) all night long
(I'd be your song) I'd be your song
Te sientes inteligente
Cierras tus ojos
Y suenes que soy tuyo
Pero yo no se
Ni si quiera que estas aqui
Me gustaria tenerte en mis brazos amor
I sit out in the crowd and close my eyes
Dream you're mine
And you don't know
You don't even know that I exist, oh
I wish that I was in your arms
Like that Spanish guitar
And you would play me through the night
('Til the dawn) 'til the dawn
I wish you'd hold me in your arms
Like that Spanish guitar
Wish that I was in your arms
Like that Spanish guitar (Spanish guitar)
(All night long) all night long
(All night long) all night long
(I'd be your song) I'd be your song
I'll be your song, your song, your song
I'll be your song, yeah
I'll be your song, your song, your song
Play me all night long
I'll be your song, your song, your song
I'll be your song, yeah (you could play me like that Spanish guitar)
I'll be your song, your song, your song
I wanna be your song
I'll be your song, your song, your song
I'll be your song, yeah
I'll be your song, your song, your song
Hold me baby all night long
I'll be your song, your song, your song
I'll be your song, yeah.
Si ndio mkuu🙏Safi sana . Good music.
Na brandy namwelewa sana.Like the same,Mary J Blige Queen of hiphop soul.kuna Whitney Houstone nyimbo I have nothing ni noma sana.
hao washapiga hela sasa wametulia wanakula mshiko tu.
Nawasalimu wanajukwaa wa Jf, kwa wale waliosonga kiumri nawapa shikamoo, kwa wengine ambao sijui rika zenu salamu zangu ziwafikie.
Leo wakati nimetulia nilipata bahati ya kusikiliza oldies, kwa bahati nilikutana na kibao cha Toni Braxton kinachofahamika kwa jina la "Spanish Guitar". Kiukweli vijana wa kisasa tunapata makombo ya muziki kutoka kwa wasanii wengi (almost 95% ya muziki wa sasa hauna hadhi ya kuitwa mziki).
Kwanza nilipenda uimbaji uliotulia, melody nzuri ya kutulia, kupanda na kushuka kwa sauti, mdundo (Piano, snares, Guitar, kick na vingine). Kiukweli njia pekee ya kufaidi vitu vya kale ni kupitia mziki uliotunzwa kwani utamu unabaki vilevile bila kuchujwa, inawezekana ukisimuliwa hadithi ya kale ikaongezewa makolombwenzo ambayo hayakuwepo ila muziki unabaki pale pale.
RnB, Soul, Country, Jazz, Rock na Pop za kale ziko vizuri. Wazee wetu mlipata ladha nzuri ya muziki.
Lyrics 🎻🎸
A smokey room, a small café
They come to hear you play
And drink and dance the night away
I sit out in the crowd and close my eyes
Dream you're mine
But you don't know
You don't even know that I am there
I wish that I was in your arms
Like that Spanish guitar
And you would play me through the night
'Til the dawn
I wish you'd hold me in your arms
Like that Spanish guitar
All night long
(All night long) all night long
I'd be your song
I'd be your song
Steal my heart with every note you play
I pray you'll look my way
And hold me to your heart someday, yeah
I long to be the one that
You caress with a tenderness
And you don't know
You don't even know that I exist
I wish that I was in your arms
Like that Spanish guitar
And you would play me through the night
('Til the dawn) 'til the dawn
I wish you'd hold me in your arms
Like that Spanish guitar
(All night long) all night long
(All night long) all night long
(I'd be your song) I'd be your song
Te sientes inteligente
Cierras tus ojos
Y suenes que soy tuyo
Pero yo no se
Ni si quiera que estas aqui
Me gustaria tenerte en mis brazos amor
I sit out in the crowd and close my eyes
Dream you're mine
And you don't know
You don't even know that I exist, oh
I wish that I was in your arms
Like that Spanish guitar
And you would play me through the night
('Til the dawn) 'til the dawn
I wish you'd hold me in your arms
Like that Spanish guitar
Wish that I was in your arms
Like that Spanish guitar (Spanish guitar)
(All night long) all night long
(All night long) all night long
(I'd be your song) I'd be your song
I'll be your song, your song, your song
I'll be your song, yeah
I'll be your song, your song, your song
Play me all night long
I'll be your song, your song, your song
I'll be your song, yeah (you could play me like that Spanish guitar)
I'll be your song, your song, your song
I wanna be your song
I'll be your song, your song, your song
I'll be your song, yeah
I'll be your song, your song, your song
Hold me baby all night long
I'll be your song, your song, your song
I'll be your song, yeah.
True, bado wapo Ila kwa era Hii ya muziki ambayo teknolojia ni kubwa, kupata zile pure talent kama Tony, R Kelly, MJ, whitney, mariah ni ngumu sanaNyimbo za hivyo zipo, waimbaji wa hivyo wapo,aina ya mziki huo upo,but haupo kwenye mainstream..kuna radio ya Sweden inaitwa stringstay nasikiliza ngoma kila siku