Toni Braxton - Spanish Guitar, nyimbo za wasanii wa RnB za Kibongo tunapigwa

Toni Braxton - Spanish Guitar, nyimbo za wasanii wa RnB za Kibongo tunapigwa

True, bado wapo Ila kwa era Hii ya muziki ambayo teknolojia ni kubwa, kupata zile pure talent kama Tony, R Kelly, MJ, whitney, mariah ni ngumu sana

Ukiangalia kama The weekend, Bryson Tiller, HER, Taylor swift au ella mai, wanatengeneza good music na wanafanikiwa lakini talent wise hawafikii hiyo era iliyopita. Labda kidogo SZA namuona yupo vizuri hasa kwenye uandishi na sound yake Ila live performance bado kiwango
Muziki umebadilika kidogo, mfano Taylor swift wa kwenye album ya Fearless ni tofauti na Taylor wa album 1989,genre zinachanganywa,,country imekua County/Pop,rap imekua hiphop/Rnb,..styles zimekua nyingi sana...
 
Muziki umebadilika kidogo, mfano Taylor swift wa kwenye album ya Fearless ni tofauti na Taylor wa album 1989,genre zinachanganywa,,country imekua County/Pop,rap imekua hiphop/Rnb,..styles zimekua nyingi sana...
Ni kweli brother, genre huwa zinabadilika kutokana na demand ya soko Ila uwezo wa msanii hautegemei hilo. Ni aidha ana talent au hana. Mfano enzi za R Kelly, whitney au Tony, mtu alitakiwa kuwa na kipaji kweli kweli ili awe mega star Ila shift ya kuingia kwenye RnB ya late 1990's to early 2000's, hapo ndio kulizaa wasanii wenye average singing ability kama Ashanti, J lo etc hadi leo

Kwa hiyo hata Taylor Swift ni good writer Ila sio good vocalist regardless ya genre gani anaimba na sio lazma awe kwa kuwa industry haizingatii hiyo qualification kwa sasa
 
Ni kweli brother, genre huwa zinabadilika kutokana na demand ya soko Ila uwezo wa msanii hautegemei hilo. Ni aidha ana talent au hana. Mfano enzi za R Kelly, whitney au Tony, mtu alitakiwa kuwa na kipaji kweli kweli ili awe mega star Ila shift ya kuingia kwenye RnB ya late 1990's to early 2000's, hapo ndio kulizaa wasanii wenye average singing ability kama Ashanti, J lo etc hadi leo

Kwa hiyo hata Taylor Swift ni good writer Ila sio good vocalist regardless ya genre gani anaimba na sio lazma awe kwa kuwa industry haizingatii hiyo qualification kwa sasa
Kwa sasa biashara imekua ndio lengo kuu,sio kipaji kuna industries plants kama BTS,ukiwa na muonekano tu watu wanakueka chini miaka mitano,una debut una vunja recods...kuna Channel nasikiliza inapiga ngoma indies tu...nakutana na nyimbo za maana...now ili ufanye mziki mzuri lazima uwe independent..anagalia boom bap rap ipo wapi...new wave ime take over
 
Kwa sasa biashara imekua ndio lengo kuu,sio kipaji kuna industries plants kama BTS,ukiwa na muonekano tu watu wanakueka chini miaka mitano,una debut una vunja recods...kuna Channel nasikiliza inapiga ngoma indies tu...nakutana na nyimbo za maana...now ili ufanye mziki mzuri lazima uwe independent..anagalia boom bap rap ipo wapi...new wave ime take over
Industries plants ni wengi kwa sasa cha msingi wana muonekano au personalities zinazoweza kujenga influence kwenye online global platforms 👏🏾👏🏾
 
Tafadhalini, msisahau kusikiliza 'it feels so good' ya sonique. Acha kabisa!!
 
Na kuna huu wimbo wa injili wake Patrick Kubuya--MOYO WANGU🙏🙏🔥🔥
 
Back
Top Bottom