Tony Blair, angel of Darkness yuko Zanzibar!

Tony Blair, angel of Darkness yuko Zanzibar!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
20231006_082018.jpg
Daily News 6 Oct. Pg3

Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.

Sioni ujasiri wa kumkaribisha nchini kwetu ilhali ana mikono ya damu ya wananchi wasio na hatia.

Rais Mwinyi chonde chonde, usishiriki na muuaji.
 
View attachment 2773242
Daily News 6 Oct. Pg3

Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.

Sioni ujasiri wa kumkaribisha nchini kwetu ilhali ana mikono ya damu ya wananchi wasio na hatia.

Rais Mwinyi chonde chonde, usishiriki na muuaji.
Ndiyo nani huko duniani jamani , maana tuko huku kuzimu hatuwajui hao
 
View attachment 2773242
Daily News 6 Oct. Pg3

Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.

Sioni ujasiri wa kumkaribisha nchini kwetu ilhali ana mikono ya damu ya wananchi wasio na hatia.

Rais Mwinyi chonde chonde, usishiriki na muuaji.
huyu jamaa ni mojawapo ya watu wa kuzimu kabisa.
 
huyu jamaa ni mojawapo ya watu wa kuzimu kabisa.
Huyo Tony Blair hana moral authority ya kukaa na mtu yeyote wa heshima, kwa mauaji aliyofanya.
Ingekuwa ni mwafrika, zamani wangesema apelekwe The Haig , korti ya haki za binadamu ICJ(Iternational Court of Justice).
Na yeye Tony Blair anastahili apelkwe huko na kufunguliwa mashtaka ya mauaji ya kimbari.
 
Back
Top Bottom