Tony Blair, angel of Darkness yuko Zanzibar!

Tony Blair, angel of Darkness yuko Zanzibar!

Daily News 6 Oct. Pg3

Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.

Sioni ujasiri wa kumkaribisha nchini kwetu ilhali ana mikono ya damu ya wananchi wasio na hatia.

Rais Mwinyi chonde chonde, usishiriki na muuaji.
Kwahiyo unataka kusema Rais Mwinyi yeye hana mikono ya damu? Mbona mnasahau mapema sana? Ukumbuki watu wa Zanzibar waliouliwa kipindi cha uchaguzi kilichomuingiza Mwinyi kwenye Urais mwaka 2020?
 
Wairaki walimnyonga Saddam , kwa shinikizo la NATO, hasa Tony Blair na Marekani.
Lakini ikaja kuonekana kuwa zaidi ya majigambo ya "Mother of all Battles" hakuwa na lolote!
Sadam alihukumiwa kifo na mahakama ya Iraq baada ya kukutwa na hatia ya kuhusika moja kwa moja na mauaji ya Washia 148 kwenye mji wa Dujail mwaka 1982.
 
Huyo ni Insider wa Kampuni ya DP World. Atakuwa amekuja nchini kuteta na wakubwa namna ya kusonga na dili la kidalali la kugawa bandari zetu.

Ni mtu hatari kabisa hafai hata kulumangia!

Ikumbukwe kabla ya Bi Mkubwa kugawa bandari zetu zote kwa mkataba wa kimangungo alitanguliwa na ziara zisizokatika za Tony Blair nchini.

Huyu mtu apigwe Persona non grata hapa nchini, ni Agent mbaya sana wa Neo-colonialism
 

Soma hapo umechelewa sana Samia alishamkaribisha muda mrefu sana.
 
Daily News 6 Oct. Pg3

Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.

Sioni ujasiri wa kumkaribisha nchini kwetu ilhali ana mikono ya damu ya wananchi wasio na hatia.

Rais Mwinyi chonde chonde, usishiriki na muuaji.
Hapa Tanzania hakuna waliojeruhi hata kuua? Tuna ujasiri gani wa kuwanyooshea vidole wengine?
Goerge Bush Junior aliyeongoza vita hiyo ya kusaka silaha za maangamizi Iraq mbona alikujaga Tanzania kugawa vyandarua na kucheza ngoma na wamasai huku akiwa na mission ya kufutilia mbali deal ya Uranium Kati ya Russia na Tanzania?! By the time tayari Kampuni ya Russia ya Manthrax ilishaanza kuchimba uranium Namtumbo? Mkakaa kimyaaa?! Baadaye akaja Clinton, kimyaaa, akaja Obama kimyaaa. Nongwa gani uliyonayo na Uingereza ambayo is just allied party to US by the time of war?
 
Hapa Tanzania hakuna waliojeruhi hata kuua? Tuna ujasiri gani wa kuwanyooshea vidole wengine?
Goerge Bush Junior aliyeongoza vita hiyo ya kusaka silaha za maangamizi Iraq mbona alikujaga Tanzania kugawa vyandarua na kucheza ngoma na wamasai huku akiwa na mission ya kufutilia mbali deal ya Uranium Kati ya Russia na Tanzania?! By the time tayari Kampuni ya Russia ya Manthrax ilishaanza kuchimba uranium Namtumbo? Mkakaa kimyaaa?! Baadaye akaja Clinton, kimyaaa, akaja Obama kimyaaa. Nongwa gani uliyonayo na Uingereza ambayo is just allied party to US by the time of war?
Tumiaga akili basi, sasa kama Bush na Blair wamekuja Tanzania ,basi dhambi zao zimetakaswa?
Abgekuwa kiongozi mwafrika wote mngekuwa midomo juu, apelekwe, apelekwe The Hague!
 

Soma hapo umechelewa sana Samia alishamkaribisha muda mrefu sana.
Alipokuja wakati ule bado tuli protest.
Tanzania siyo pango la wanyang'anyi na wauaji.
 
Daily News 6 Oct. Pg3

Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.

Sioni ujasiri wa kumkaribisha nchini kwetu ilhali ana mikono ya damu ya wananchi wasio na hatia.

Rais Mwinyi chonde chonde, usishiriki na muuaji.
Niice. Karibu Zanzibar
 
Back
Top Bottom