Tony Blair, angel of Darkness yuko Zanzibar!

Tony Blair, angel of Darkness yuko Zanzibar!

Daily News 6 Oct. Pg3

Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.

Sioni ujasiri wa kumkaribisha nchini kwetu ilhali ana mikono ya damu ya wananchi wasio na hatia.

Rais Mwinyi chonde chonde, usishiriki na muuaji.
Tony Bliar na mwenzie George Bush walitakiwa wawe gerezani kwa uharamia wa kijeshi nchini Iraq na Libya
 
Back
Top Bottom