Mliprotest wakati kafanikisha madili kadhaa ya Samia.Alipokuja wakati ule bado tuli protest.
Tanzania siyo pango la wanyang'anyi na wauaji.
Tony Blair kaja kumwona Mama Samia? Nina Masikitiko!
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007. Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu. Na alikuwa...www.jamiiforums.com
Hakika Dr Mwinyi kaa mbali na tony blair. Huyo ni malaika wa kuzimu. Atakushawishi hadi kukuhonga umpe dili za kampuni zake wala hatajali kama hakuna maslahi kwa zanzibar. Huyo mtu amesababisha kwa uongo wake na bush raia wa iraq mamilioni kufa na nchi yao iliyokua na maendeleo makubwa kuharibika kabisa. Isitoshe walivyokua wanyama wakamyongo kiongozi wao kwa kamba kwa hukumu waliyopanga wao.Daily News 6 Oct. Pg3
Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.
Sioni ujasiri wa kumkaribisha nchini kwetu ilhali ana mikono ya damu ya wananchi wasio na hatia.
Rais Mwinyi chonde chonde, usishiriki na muuaji.
Daily News 6 Oct. Pg3
Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.
Sioni ujasiri wa kumkaribisha nchini kwetu ilhali ana mikono ya damu ya wananchi wasio na hatia.
Rais Mwinyi chonde chonde, usishiriki na muuaji.
Mara samia alivyoingia tu urais.. huyu hapa tony blair, kama vile alikua anasubiria dili la kufa magufuli. Akapiga mamilioni aliyokopa samia world bank mojawapo ya kazi yake walivyokubaliana eti kuisafisha tanzania sifa mbaya aliyoweka magufuli. Huyo ndio samia eti kuna wanasema anaupiga mwingi😂🤣Mliprotest wakati kafanikisha madili kadhaa ya Samia.
Wapo watalii ambao huenda kutalii wakiwa na ya ziada kwa faida ya jamii na nchi zao.Si kaja kama mtalii mwengine yeyote? Watanzania mbona kila siku tunaenda Uingereza.
Silioni tatizo hapo.
kumbe, we bwege kweli weweSadam alihukumiwa kifo na mahakama ya Iraq baada ya kukutwa na hatia ya kuhusika moja kwa moja na mauaji ya Washia 148 kwenye mji wa Dujail mwaka 1982.
eti kampuni ya russia ya manthrax, mkuu kama hujui si ukae tu kimya.Hapa Tanzania hakuna waliojeruhi hata kuua? Tuna ujasiri gani wa kuwanyooshea vidole wengine?
Goerge Bush Junior aliyeongoza vita hiyo ya kusaka silaha za maangamizi Iraq mbona alikujaga Tanzania kugawa vyandarua na kucheza ngoma na wamasai huku akiwa na mission ya kufutilia mbali deal ya Uranium Kati ya Russia na Tanzania?! By the time tayari Kampuni ya Russia ya Manthrax ilishaanza kuchimba uranium Namtumbo? Mkakaa kimyaaa?! Baadaye akaja Clinton, kimyaaa, akaja Obama kimyaaa. Nongwa gani uliyonayo na Uingereza ambayo is just allied party to US by the time of war?
Kwa ustawi wa jamii tunahitaji diversity mzee watu kama hao ni ingrident nzuri kwenye jamii, Niliwahi kumsoma Joseph Kony nikaona dunia inahitaji watu wa namna hiohuyu jamaa ni mojawapo ya watu wa kuzimu kabisa.
Mzee mnoko sana wewe...Daily News 6 Oct. Pg3
Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.
Sioni ujasiri wa kumkaribisha nchini kwetu ilhali ana mikono ya damu ya wananchi wasio na hatia.
Rais Mwinyi chonde chonde, usishiriki na muuaji.
Sijakuelewa. Malengo maalum yepi?Wapo watalii ambao huenda kutalii wakiwa na ya ziada kwa faida ya jamii na nchi zao.
Naweza kuja kwako kwenye maulidi ili nipate fursa ya kukutana nawe kwa lengo maalum.
Habari ya sasa hivi lakini picha ni kama ya miaka ya 80; inashangazaDaily News 6 Oct. Pg3
Toka alivyo ongopea dunia na majeshi yake na ya NATO kuua wananchi wasio na hatia zaidi ya milioni moja, huyo Tony Blair ni mfalme wa kuzimu.
Sioni ujasiri wa kumkaribisha nchini kwetu ilhali ana mikono ya damu ya wananchi wasio na hatia.
Rais Mwinyi chonde chonde, usishiriki na muuaji.
Nisahihishe Mkuu. Siyo kila wakati mtu unakuwa na clear record.eti kampuni ya russia ya manthrax, mkuu kama hujui si ukae tu kimya.
Kweli mkuuHabari ya sasa hivi lakini picha ni kama ya miaka ya 80; inashangaza
Na waingereza, NATO wameua watu milioni moja, wamepelekwa mahakama ipi?Sadam alihukumiwa kifo na mahakama ya Iraq baada ya kukutwa na hatia ya kuhusika moja kwa moja na mauaji ya Washia 148 kwenye mji wa Dujail mwaka 1982.
Wameua wapi ?Na waingereza, NATO wameua watu milioni moja, wamepelekwa mahakama ipi?
Mkuu naona umeamua kuzeeka na roho mbaya inayoongozwa na fitina za kibongo.Huyo ni Insider wa Kampuni ya DP World. Atakuwa amekuja nchini kuteta na wakubwa namna ya kusonga na dili la kidalali la kugawa bandari zetu.
Ni mtu hatari kabisa hafai hata kulumangia!
Ikumbukwe kabla ya Bi Mkubwa kugawa bandari zetu zote kwa mkataba wa kimangungo alitanguliwa na ziara zisizokatika za Tony Blair nchini.
Huyu mtu apigwe Persona non grata hapa nchini, ni Agent mbaya sana wa Neo-colonialism