Too late akina dada, kumnyima utamu anayehakikisha kukuoa kisa walikutumia wakakuacha

Tena unauziwa mbuzi ambaye asharuka mpk ukuta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ushauri mzuri sana, ungekuwa na mawazo kama haya katika jukwaa la siasa ingekuwa safi sana.
 
Hahaha ww ndio "too late" jamaa povu linakutoka bila omo,inaonesha dhahiri leo ulikuwa uende peponi ila wajanja wamekuwahi sasa hasira unakuja kumalizia humu dah..ww tafuta pesaa jombaaa...afu we si muoaji ww utakuwa singo faza tuu.
 
Hivi kweli mdada safi utamkunja kwa mazingira magumu kamahayo???? Ebu tafuta location then uletemrejesho sio kulialia mwanaume
 
mki tunyimaa na sisi tunakimbia atuhudumiii tunakula konaaaa kanjaaaa
 
Mi ukinibania hiyo kitu naona sasa kama waninyima pumzi aisee. Waweza leta madhara kwa wengine maana hiyo kanyaga twende mmmh. Jamani tupeni tu maana hakuna namba. Mpigwe tu
 
Hahaha ww ndio "too late" jamaa povu linakutoka bila omo,inaonesha dhahiri leo ulikuwa uende peponi ila wajanja wamekuwahi sasa hasira unakuja kumalizia humu dah..ww tafuta pesaa jombaaa...afu we si muoaji ww utakuwa singo faza tuu.
Sasa kwa taarifa yako wenye pesa ndiyo huwa hawaoi
 
Tukitoa mnasema malaya tukibania mtazeekea kwenu duuh hamna jema
ni kweli aisee binadam sisi,ila vizur ukamjua mtu,mi mwanamke akinipa papuchi hua namthamini zaid ya kila kitu,unajua papuchi ndio sehem ya mwananke muhimu sana so akikupa ujue na ww ni wa muhimu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…