Too late akina dada, kumnyima utamu anayehakikisha kukuoa kisa walikutumia wakakuacha

Nawaambiaga kila siku kubana papuchi hakuta waongezea thamani yoyote ...na ktk dunia ya Leo hakuna mwanaume atakubali aoe bila kuonja mzigo never
Mkuu usiwasemee watu huo ni upuuzi Kama unaamini we huwezi ila wenzako wanaweza eboo!!
 
Pole sana.. kukubaliwa au kukataliwa yote majibu... piga moyo konde na maisha yaendelee... Tatizo linakuja pale huyo unayemuona anagawa ovyo pale anapokubania wewe tu... Ukiona mwanamke anakubania hajakupenda...
 
Wakati wewe na uzee wako unabania mtoto wa miaka 19 anagawa bila hiana, kwa kihepe (chips) tu.
Nitarudi baada ya muda mfupi ngoja nitumikie taifa kwanza....
 
Kwa hiyo unashauri watu wawe waasherati au?
 
Yani wewe kaka kugombana na mpenzi wako kisa kakataa kuja kwako ndio yamefika hadi huku?

Kwanini umekosa hekima na adabu kiasi hiki? Yeye ana miaka 29 tu unamuona mzee,wewe mwenye 38 sijui 39 tukuite nani?

Kisa mtoto wa watu amekupenda na umeona anataka kuolewa ndio unatake advantage.

Kuolewa sio pumzi tuseme usipomuoa atakosa kuishi,acha kashfa na dharau.
Yani una bahati msichana wa watu ni mpole,ningekuwa mimi ungekoma.

Behave bhana,acha mambo zako hizo.
Usiniulize nimekujua vipi maana sitokujibu.
 
Nasisitiza wanawake endeleeni kubana...ukiachia iwe genye zimekubana sna!!Hakuna kutoa papuchi.Tena wote mkibana akili zitawakaa sawa...tutafungua viwonder vyetu vya Sabuni

Adabu hawana hawa!!!
 
Mtoa mada ukijaribu kuvaa uhusika wa msichana / binti uliyemwelezea utagundua kuwa hii ni changamoto kubwa kwao hasa kwa wale wacha Mungu.

Kwa kuandika hivyo umewadhalilisha mabinti.
Haswaaaaa binti wa watu ni Mchamungu,sio sawa na wadada micharuko wa mjini.
Kamdhalilisha sana,yani hapa akilogwa tu anijibu mbovu leo amekwisha.

Kwanza huu uchafu wake anaopost huku nitauanika kwa familia ya binti.
Huyu mwanaume ni mshenzi sana.
 
Haswaaaaa binti wa watu ni Mchamungu,sio sawa na wadada micharuko wa mjini.
Kamdhalilisha sana,yani hapa akilogwa tu anijibu mbovu leo amekwisha.

Kwanza huu uchafu wake anaopost huku nitauanika kwa familia ya binti.
Huyu mwanaume ni mshenzi sana.
Duuh, kumbe unamfahamu zaidi ya hapa? [emoji15]
 
Haswaaaaa binti wa watu ni Mchamungu,sio sawa na wadada micharuko wa mjini.
Kamdhalilisha sana,yani hapa akilogwa tu anijibu mbovu leo amekwisha.

Kwanza huu uchafu wake anaopost huku nitauanika kwa familia ya binti.
Huyu mwanaume ni mshenzi sana.
Calm down my dada
 
Kumbe nje ya ukada una akili eee
 
Hahaha ww ndio "too late" jamaa povu linakutoka bila omo,inaonesha dhahiri leo ulikuwa uende peponi ila wajanja wamekuwahi sasa hasira unakuja kumalizia humu dah..ww tafuta pesaa jombaaa...afu we si muoaji ww utakuwa singo faza tuu.
Mumu, dadangu upo!!!
Mithi you sanaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…