Too late akina dada, kumnyima utamu anayehakikisha kukuoa kisa walikutumia wakakuacha

[emoji66] [emoji73] [emoji68] [emoji131] [emoji125] [emoji125] ??? [emoji134] [emoji183] [emoji141] tuwaombee tuu
 
huu utani mwingine huu...!!!
 
Mtumbue tu hamna namna wanaume kama hawa hawafaiiii
Kumbe kuna wanaume pia wako desparate, amekosa hekima kabsa anakuja kumuanika dada wa watu humu
Nasubiri response yake,akileta fyokofyoko namtumbua...mambo yatakuwa hadharani sio huku tu,hadi kwao na akina bint.
 
Good!
 
Inategemea na MTU mwingine anakudharau usipokula,kuuziana mbuzi kwenye gunia sio poa.
 
QUOTE="Nifah, post: 20073339, member: 207619"]Nasubiri response yake,akileta fyokofyoko namtumbua...mambo yatakuwa hadharani sio huku tu,hadi kwao na akina bint.[/QUOTE]
Kwa jinsi alivyotulia na kusepa ni wazi ameshagundua upuuzi wake na ujuha wake.... Nahisi genye zimemtuma vibaya na kufikiri
hapa ni jukwaa la moyo wake kusemea yaliyomsibu katika lugha isiyo ya staha... Msetiri na wasetiri pia na naomba kama unaweza kuongea nae nje ya hapa basi mpe semina ya how a man should behave on his woman... Umri wake sio kwamba mambo mengi anayajua hapana.... Pia inawezekana mdomo wake na akili yake imemponza sehemu nyingi.... Please just help this man kwani wakati mwingine jiepushe na utenganisho... Thank you....
 
Not Giving Me Access To The Coochie Is A Direct Disqualification. Wah!Achq Nioe Mcharuko Tu Maisha Yenyewe Yako Wapi. Kitu Unakuja Kuoa Umeshakifutuafutua Mara Mia Saba. Umejiridhisha Roho Yako. Co Unabaniwa Mpapa Unakuja Kuuziwa Mbuzi Kwa Gunia,The Dumbest Woman In Bed. Wacha Nibebe Charuko Langu La Haja Tutavumiliana.Adios!
 
eti wameiweka iwe surplus food koo wanaitunza ikishaanza kua hoi ndo inaanza onewa hurumaa kidogo kwamba et hawatoi mpaka waolewe bhana
 
Kama wewe bado bikra kumbabia mwanaume ni haki na sawa kabisa ila kama ushasex na wanaume zaidi ya 100 unabana nini sasa.
 
basi ukiona ww unabaniwa kuna mjinga anapewa uko vikindu,,,
wewe anazuga mpaka muowane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…