Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaTukitoa mnasema malaya tukibania mtazeekea kwenu duuh hamna jema
huu utani mwingine huu...!!!Ukiona threads za hivi usiku usiku kama huu ujue mleta mada kabanwa sana na genye halafu mchana alibaniwa balaa sasa hasira zake za kule naniliii anazihamishia JF
Mkuu sabuni si ipo nenda tu kajipunguzie machungu,kesho utadaka kasiko bania ujipigie sie hatuwezi kukusaidia humu kwa comments
Nasubiri response yake,akileta fyokofyoko namtumbua...mambo yatakuwa hadharani sio huku tu,hadi kwao na akina bint.Mtumbue tu hamna namna wanaume kama hawa hawafaiiii
Kumbe kuna wanaume pia wako desparate, amekosa hekima kabsa anakuja kumuanika dada wa watu humu
Huu mkwara "heavy", sidhani kama atarudi huyu.Nasubiri response yake,akileta fyokofyoko namtumbua...mambo yatakuwa hadharani sio huku tu,hadi kwao na akina bint.
Good!Ukimkosa mmoja basi kuna wengine, labda haujapangiwa. Ila msichukulie papwuchi ndio itawaletea furaha katika ndoa. Kuna mengi zaidi, mahaba unaweza mfunza mtu, ila kuna mengine mmmmmh usipochunguza unajikuta unaingia kwenye kaa la moto hata kama pupu tamu inakupeleka hadi cloud9.
Msali mpate wake wema.
Tehe! Msimamo mzuri.Hatudanganyiki....
hahahahah umeonaeee unaweza ongea ukajikuta anamkosea Mungu na wana jamii wenzioNa iwe hivyo...sambura
Na ukinyamaza utaineka una hekima kumbe...hahahahah umeonaeee unaweza ongea ukajikuta anamkosea Mungu na wana jamii wenzio
Mke ni zaidi ya uchi ndugu zanguuuInategemea na MTU mwingine anakudharau usipokula,kuuziana mbuzi kwenye gunia sio poa.