Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Na makucha yake.Kumekucha Leo mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na makucha yake.Kumekucha Leo mbona
Awap hiyo n dharau iweje wengne uliwapa afu mm muoaj ndo uninyime!! Apo utakuwa umeniona wa koromije kbs.Ndo nenda kwa huyo mtoto wa miaka 19 sasa.
Kugawa au kutoa ni maamuzi ya mtu.
Kama kunyimwa papuchi kunakufanya usinioe basi tambaa mbele... Hukua na nia ya kuoa.
Wapo wanaosimama na msimamo huo na wanaolewa. Ko kama unatafuta pa kuonja wapo wanaoruhusu kuonja pia.
Kuna raha yake mkutene kimwili mara ya kwanza baada ya ndoa!!! Haijalishi kama ni bikra au la! Ni msimamo tu.
Ni decision yenu wawili. Kuna wanaume wengine ndo wanaleta hiyo idea wao wenyewe! Its just the matter of creating a special wedding night.Awap hiyo n dharau iweje wengne uliwapa afu mm muoaj ndo uninyime!! Apo utakuwa umeniona wa koromije kbs.
At 40's do not try it at home....Maliza majukumu ungali kijana....Ni decision yenu wawili. Kuna wanaume wengine ndo wanaleta hiyo idea wao wenyewe! Its just the matter of creating a special wedding night.
If you cannot do it kuna ambao wanaweza. Inamaanisha ntamsubiri huyo atakaeweza basi! Ata nikiolewa at 40 ni sawa tu.
na hii mvua basi teanKumekucha Leo mbona
At 40's do not try it at home....Maliza majukumu ungali kijana....Ni decision yenu wawili. Kuna wanaume wengine ndo wanaleta hiyo idea wao wenyewe! Its just the matter of creating a special wedding night.
If you cannot do it kuna ambao wanaweza. Inamaanisha ntamsubiri huyo atakaeweza basi! Ata nikiolewa at 40 ni sawa tu.
Kabisa mkuu,msichana asivuke 27 mwanaume 30.At 40's do not try it at home....Maliza majukumu ungali kijana....
mkuu usikubakli kuonekana wa kolomijeAwap hiyo n dharau iweje wengne uliwapa afu mm muoaj ndo uninyime!! Apo utakuwa umeniona wa koromije kbs.
At 40 hata viungo vya uzazi vimejichokea au vinaelekea hivyo kuna riski ya kuzaa watoto wasiosawa sawia....Out of that Ushauri wangu kuhusu huyu jamaa uliupata@NifahKabisa mkuu,msichana asivuke 27 mwanaume 30.
Zaidi ya hapo ni stress tu.
Haaah kazi iponasisitiza kwamba wajitunze. Wabakie na bikra zao. Lkn siyo amegawa mpk masikioni halafu ndiyo anastuka