- Thread starter
- #41
Nashukuru hata wewe umeona umuhimu wa kujadili MkuuEti serious leadership yaani mtu unajitungia tuu utumbo unapost nawatu wanajadili...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru hata wewe umeona umuhimu wa kujadili MkuuEti serious leadership yaani mtu unajitungia tuu utumbo unapost nawatu wanajadili...
Hizo ni top 10. Kwenye bottom 5 Tanzania haiwezi kukosekana 😆😆The following is the list of top 10 African Countries with serious leaders;
1. Burkina Fasso
2. Kenya
3. Rwanda
4. Cote d' Voire aka Ivory Coast
5. Uganda
6. Senegal
7. Guinea
8. Niger
9. Mali
10. Egypt
Ipo kwenye bottom 5.Why Tanzania haipo?
Naomba kukiri kwamba hii ni maoni yangu kulingana na utafiti ambao nimekuwa naufanya kupitia vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje ya Tanzania, Makala mbalimbali pamoja na maoni ya wananchi wa nchi husika zilizoorodheshwa.Eti serious leadership yaani mtu unajitungia tuu utumbo unapost nawatu wanajadili...
Angekuwepo Magufuli tungelishika namba mojaThe following is the list of top 10 African Countries with serious leaders;
1. Burkina Fasso
2. Kenya
3. Rwanda
4. Cote d' Voire aka Ivory Coast
5. Uganda
6. Senegal
7. Guinea
8. Niger
9. Mali
10. Egypt
Unaelimu gani kwanza tuanzie hapo!!Naomba kukiri kwamba hii ni maoni yangu kulingana na utafiti ambao nimekuwa naufanya kupitia vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje ya Tanzania, Makala mbalimbali pamoja na maoni ya wananchi wa nchi husika zilizoorodheshwa.
Utafiti hupingwa na utafiti, naomba na wewe ufanye wa kwako, halafu uje nao hapa
vipi EthiopiaKagame yuko serious na kujenga nchi, unamtoaje, Kaguta nae yuko serious na mambo ya kujenga Uganda, ukiacha umri wake kusonga unaona kabisa kwamba kuna vitu ana- aim ambavyo viongozi wa taifa letu hata kuwaza huoni. Ukisikiliza hotuba yake moja unaona kabisa Mzee Network bado iko sawsawa.
kweli Mkuu, kwa spidi aliyokuwa anaenda nayo kungekuwa namba 1, nakubali.Angekuwepo Magufuli tungelishika namba moja
darasa la 8 la mkoloniUnaelimu gani kwanza tuanzie hapo!!
Nimezawaliwa nemekuta ni Rais mpk sahivi nazeeka bado tu anajipya lipi?Kagame yuko serious na kujenga nchi, unamtoaje, Kaguta nae yuko serious na mambo ya kujenga Uganda, ukiacha umri wake kusonga unaona kabisa kwamba kuna vitu ana- aim ambavyo viongozi wa taifa letu hata kuwaza huoni. Ukisikiliza hotuba yake moja unaona kabisa Mzee Network bado iko sawsawa.
Hii list ni batili. Sijaona Tanzania hapoThe following is the list of top 10 African Countries with serious leaders;
1. Burkina Fasso
2. Kenya
3. Rwanda
4. Cote d' Voire aka Ivory Coast
5. Uganda
6. Senegal
7. Guinea
8. Niger
9. Mali
10. Egypt
The following is the list of top 10 African Countries with serious leaders;
1. Burkina Fasso
2. Kenya
3. Rwanda
4. Cote d' Voire aka Ivory Coast
5. Uganda
6. Senegal
7. Guinea
8. Niger
9. Mali
10. Egypt
Utakuwa hujaelewa orodha inahusu nini.Hii list ni batili. Sijaona Tanzania hapo