Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Nimesoma na Afadhali Lazima Rungwe sec.., pia kulikuwa na Maneno Sijaona na Ntumigwa Mwampiki pale Kyela day mwaka 2002.
 
Nasoro Kinyonga, Charles Sungura, Ng'ombe Jimoku, Stanley Chulla. ACSEE 2006
 
Anyangsye Anyandwile Sinza sec wakati ikiitwa Iteba form 1 1998
 
MAPINDUZI NDUNGULUSOLIKUCHO alimaliza darasa la saba SINGIDA mwaka 1995
 
Rejea Matata, alimaliza ADA pale TIA 2008, mwanae anaitwa Mafanikio Rejea Matata
 
Maneno uvuruge-mchezaji tanzania
Tobias lugarambwike kifaru-msemaji mtibwa sugar!
 
mfwalamagoha ulanzi wa ng'ombe mwakibaasa-mbunge wa iringa mjini 1995 nccr-mageuzi
 
ndugu PIUS ANDENDEKISYE MAJALALA - muhitim iwambi primary school mby 1999.
ndugu UKIWAONA USIWASEME DITOPILE MWINSHEHE MZUZURI- Marehem m/mkoa tabora
 
Shitindi lusana - mwl nyere secondary kahama - 2003/2001, nchimani mpigahodi, - uhuru secondary shinyanga - 2006, zacharia migungumaro - kambarage primary - shinyanga - 1995
 
mama kanga moja-muuza supu maeneo ya temeke.pia kuna alpha ******-mmliki wa pub temeke
 
Back
Top Bottom