Prince Ortega
Member
- Oct 28, 2012
- 38
- 4
Ukiwaona Ditopile Mzuzuri
Kanyuka Kaukonde
Allan Sebyala Munobwa
hahahahahhahakingunge ngombale mwiru - mganga wa chama tawala
Mark Karunguyeye-Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Ilala (zamani)
Nilisoma na
Gogomoka Misalaba 1991-1994 Dodoma Sekondari. Sitasahau siku mwl wetu wa
darasa wa form IIF alipokuwa anaita majina darasani alisema kila
anaposoma majina darasani akifika jina hilo tu huwa anajiona yuko
makaburini na huwa anaona misalaba mingi sana. Kilichofuata ni kicheko
kupita kiasi. He was a polite guy indeed! Kwa taarifa nilizonazo yuko
Geita au Sengerema.
Nilisoma na
Gogomoka Misalaba 1991-1994 Dodoma Sekondari. Sitasahau siku mwl wetu wa
darasa wa form IIF alipokuwa anaita majina darasani alisema kila
anaposoma majina darasani akifika jina hilo tu huwa anajiona yuko
makaburini na huwa anaona misalaba mingi sana. Kilichofuata ni kicheko
kupita kiasi. He was a polite guy indeed! Kwa taarifa nilizonazo yuko
Geita au Sengerema.
Kumalija Ngobokha - Lyamungo Sec 1993-1997