Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top ten wonderful names from Tanzania

1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO- Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.

2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA - Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka 1998.

3. Ndugu ABDALLAH NYUNDO KICHECHE- Mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Minaki mwaka 2002.

4. Ndugu MASANINGA SUMAKU POMBOJOLOWE- Dereva wa mabasi ya Hood.

5. Koplo RUBYENEKO MUGANYIZI BYOMBARIRWA-Mpishi mkuu wa kikosi cha 34 cha Jeshi (34 KJ), Mbeya.

6. Ndugu TAKOTAKO WA PUMBUJE a.k.a AKANANA - Muuza miwa na maji baridi maarufu pale magomeni makutano ya barabara za Rashid Kawawa na Morogoro.

7. Mheshimiwa NJENGAFIBILI MWAIKUNGILE-Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

8. Mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI- Waziri wa Ujenzi Tanzania.

9.Ndugu TUNTUFYE MWAIKIMBA a.k.a KIMBA-Fundi majiko maarufu Railway Gerezani Dar es Salaam.

10. Ndugu BENADETTA TYETYETYE - Mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mwaka 2001 fani ya sayansi ya jamii (BA)


True name is a Real name
 
Rashid Nguruwe, alikuwa RPC Dodoma miaka ya nyuma. Kwa sasa sijui alipo.
 
Saga Lusolela, Saluka Lusalika, Onyango Machoni (Hawa jamaa walisoma Nsumba sekondari mwishoni mwa 1980s hadi mwanzoni wa 1990s, sijui wako wapi)
 
Amani Jidulamabambasi Nzugile [R.I.P]

Ng'wizukulu Jilala Ng'wizukulu [R.I.P]

Andendekisye Mwakasakafyuka

Mkatakona Peleka - Huyu jamaa alikuwa anasoma Ilboru

Kipanya Malapa

Nshimba Ng'wanang'wallu Masunga Mayaya

Shisalyandumi Paradiso

Palamagamba Kabudi

Lutanigwa Lutasagwa

Madata Lubigisa Madata


Maduhu Iteghete Madoba

Mbona majina mengi ya huku kwetu Imalamakoye ngoja na mie niongeze

Jodoki Kalimilo
Lufulwandama Mchele
Nailon Sumaku
Mwanakwetu Mwalami
Sijali Manenomengi
Mwanamtama Ally
Ng'wazalima ng'wanaong'wakulwa
 
Last edited by a moderator:
Top ten wonderful names from Tanzania

1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO- Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.

2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA - Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka 1998.

3. Ndugu ABDALLAH NYUNDO KICHECHE- Mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Minaki mwaka 2002.

4. Ndugu MASANINGA SUMAKU POMBOJOLOWE- Dereva wa mabasi ya Hood.

5. Koplo RUBYENEKO MUGANYIZI BYOMBARIRWA-Mpishi mkuu wa kikosi cha 34 cha Jeshi (34 KJ), Mbeya.

6. Ndugu TAKOTAKO WA PUMBUJE a.k.a AKANANA - Muuza miwa na maji baridi maarufu pale magomeni makutano ya barabara za Rashid Kawawa na Morogoro.

7. Mheshimiwa NJENGAFIBILI MWAIKUNGILE-Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

8. Mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI- Waziri wa Ujenzi Tanzania.

9.Ndugu TUNTUFYE MWAIKIMBA a.k.a KIMBA-Fundi majiko maarufu Railway Gerezani Dar es Salaam.

10. Ndugu BENADETTA TYETYETYE - Mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mwaka 2001 fani ya sayansi ya jamii (BA)


1.Profesa Makenya Maboko
2.Mayunga Nkunya
3.Lwaitama
4.Emmanuel Mwambulukutu
5.Mwakitwange
6.Edgar Maokola Majogo
7.Ole Saningo Kaika Telele
8.Yanga Bwanga
9.Rwilomba Kabuzi-R.I.P
10.Kibuzo Senga
11.Mwinyigogo
12.Ambumbulwisye
13.Anangisye Mwalulesa
14Ben saanane
15.Felix Kijiko
 
Back
Top Bottom