Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Mbor.. hawa wanapatikana kwa wingi mkoa wa Kilimanjaro.
 

.. duly explained/lakini kwa upande mwingine in practice jina kama Shisalyandumi hufupishwa kutamkwa 'Shisa', 'ndumi' nk kwa sababu hizi hizo za kuokoa muda wakutamka, nk.
 
jakaya mrisho kikwete, ni rais wa danyanyika,Kasyupa Alipipi Lumuli - mbunge wangu wa zamani kule mbeyaKangalawee Gulugumbi, nimekutana naye UNIMOG kule darfur
 
[1] Ngodoo Meing'ori Kaloleni Primary

[2] Emanueli Lebarani Saning'oo

[3] Bisare Mandiga

[4] Lembida Lengishon

1) Alabara Paraita
2) Kakai Lemunju
3) Kiboli Olkwap
4)Mbayo Mbogoso
Majina ya kimasai hayo
 
Daudi Kufakunoga - Mchezaji wa zamani prison Mby

Kyambiki Mwakipake

Pro Mshindo Msolla

Mdindiliuchi Sefimbo Migavilo - R.I.P
Huyu kaburi lake ni "maarufu" sana pale iringa town
 
chambenjere nangupeche kibasame muuza mkaa- kinyerezi
 
Mkenaguzi Yamungu Dekas- mlinzi nsenda primary

Siyawezi Embasi
 
  1. Ukiwaona Ditopile Mzuzuri
  2. Kanali Kapambala Mgawe
  3. Kukutia ole Pumbuni (uliza wanafunzi na wahitimu wa LLB kuhusu kesi yake ni maarufu sana)
  4. Hawa Ghasia
  5. William Samoei Kipchirchir arap Ruto (wa Kenya huyu lakini unaonaje alivyowakilisha kiasili zaidi)
  6. Nkwabi Nghwanakilala (alikuwa bosi wa RTD zamani)
  7. Mr Kasenge (mwalimu wangu wa hesabu pale Moshi Technical Secondary school)
 
Ndugu Kaburi Liwazi mhitimu wa Mapambano shule ya Msingi mwaka 1986
 
  1. Dr Ndembela Ngunangwa (alikuwa mbunge kama sijasahau)
  2. Kisyeri Chambiri (mbunge)
 
Chilipaichi Huba-Stanbic Industrial branch
Semvua Kisenge- Electrical Engeneer Vodacom
Kisali Nyari- Mechanical engeneer
Segule Segule-Engeneer Maji ubungo
Chotile Chotile Jalalani-
 
Tulibako ,mgasa kiboko huyu aalikuwa class mate wangu enzi za sekondari na jamaa anaitwa nyaburiri.....he he hs
 
Ukiwaona Mzuzuri-Kada wa zamani CCM, Yete Sintemule Mwalyego-Ex MP Mby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…