Mbo ya Masawe
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hakuna jina kama hilo unless you meant Mboya Massawe. Ila kuna watu wanaitwa Mboro.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbo ya Masawe
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mwenyewe nimestuka
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Top ten wonderful names from Tanzania
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO- Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.
2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA - Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka 1998.
3. Ndugu ABDALLAH NYUNDO KICHECHE- Mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Minaki mwaka 2002.
4. Ndugu MASANINGA SUMAKU POMBOJOLOWE- Dereva wa mabasi ya Hood.
5. Koplo RUBYENEKO MUGANYIZI BYOMBARIRWA-Mpishi mkuu wa kikosi cha 34 cha Jeshi (34 KJ), Mbeya.
6. Ndugu TAKOTAKO WA PUMBUJE a.k.a AKANANA - Muuza miwa na maji baridi maarufu pale magomeni makutano ya barabara za Rashid Kawawa na Morogoro.
7. Mheshimiwa NJENGAFIBILI MWAIKUNGILE-Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.
8. Mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI- Waziri wa Ujenzi Tanzania.
9.Ndugu TUNTUFYE MWAIKIMBA a.k.a KIMBA-Fundi majiko maarufu Railway Gerezani Dar es Salaam.
10. Ndugu BENADETTA TYETYETYE - Mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mwaka 2001 fani ya sayansi ya jamii (BA)
Hapa naona mantiki ya wazungu ba waarabu kuwapa watumwa majina mapya mepesi. Jina kama Ng'wizukulu Shisalyandumi Ng'wanang'wallu inaongeza gharama zisizo muhimu .. inahitaji muda mwingi kuandika, kutamka, kukariri, nk
Ponda Ponda-Mwenyekiti wa Jumuia na Taasisi za Kiislam
Umeona ee!
Duh!
Marekani Zanziba. Huyu jamaa alikuwa mwanariadha timu ya kata yetu Malampaka UMISHUMITA Maswa nadhani mwaka 1991.