PrincessLove
Member
- Jul 19, 2014
- 22
- 0
Justin kufakunoga...mwanafunzi chuo kikuu duce tawi la dar es salaam yupo mwaka wa kanza now
Asa ni my bro yuko Ipinda.Asajile Bansilile Mwakalindile - Uhuru mchanganyiko PS Opp na TBL LY 1985 sijui yupo wapi sasa
Ndekamfoo Ndefoo Shoo - KiliBoys Sec School 1989
Nilisoma na GOGOMOKA MISALABA Minaki Sec School 1995 - 1997 yeye akiwa nyuma yangu mwaka mmoja...Nimefurahi kulisikia tena jina lake leo. Sijui yupo wapi sasa!